Oman - Muscat.
Member
- Jan 1, 2012
- 38
- 8
Wanasiasa 40 walipata ajali mbaya porini, mkulima mmoja alisogea kuwatazama. akaamua kuchimba shimo na kuwazika wote, polisi wakafika eneo la tukio mahojiano kama ifuatavyo:
polisi : zipo wapi maiti
Mkulima : Nimezizika zote.
Polisi: una hakika wote walikua wamekufa?
Mkulima : kuna wengine walilalamika kwamba hawajafa , ila si unajua wana siasa walivyo waongo? nikajua wanadanganya tu!
polisi : zipo wapi maiti
Mkulima : Nimezizika zote.
Polisi: una hakika wote walikua wamekufa?
Mkulima : kuna wengine walilalamika kwamba hawajafa , ila si unajua wana siasa walivyo waongo? nikajua wanadanganya tu!