Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hawampendi Pinda kwa sababu wanzozijua wao
Tuvunje muungano tu, siupendi
Karibu Jack Daniel ya kichina.
Kwani usafiri wa maji na barabara ni masuala ya muungano? kwa nini asimuwajibishe rais wa serikali ya mapinduzi zanzibar na wasaidizi wake akina maalim seif na wengine? waziri kiongozi anaachwa kisa? Mh mbunge hajui mipaka yake na masuala yahusuyo muungano. suala hilo alipeleke kwenye baraza la wawakilishi asitafute sifa.Wakuu, nime-quote habari kwenye website ya gazeti la mwananchi kama inavyoonekana hapa chini:
"Mbunge wa Ole, Rajab Mbarouk alisema anakusudia kupeleka hoja binafsi bungeni ili kumwajibisha Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kwa tukio hilo"
HOJA YANGU:
Waziri wa Miundombinu wa SMZ kwanini anaachwa, ila Pinda ambaye wazanzibari hawamtambui wanataka awajibishwe? Wao si waliikataa SUMATRA?
Mh mbunge anadai serikali haina takwimu sahihi na jamaa wa KCB wanataka kuwasomesha yatima /wahanga waa msiba huo. sasa kachukua jukumu la kupata data kamili. Jamaa anaratibu michango na misaada inayotolewa na wasamaria. Ana lake jambo huyo.Mkuu habari hiyo haiwezi kuwa fupi kama hivyo. Ongeza tujue ni kwa nini aseme anataka kumwajibisha Pinda?
Nyambwete;Nimeelewa vizuri hoja yako!!Najua bado wewe ni mgeni jamvini ...Wakati mwingine unachoweza kufanya weka link inayoweza kufanya anayetaka kupata habari zaidi aweze kuifikia!Unaweza kufanya hivyo ..kwa gazeti la mwananchi?Wakuu, nime-quote habari kwenye website ya gazeti la mwananchi kama inavyoonekana hapa chini:"Mbunge wa Ole, Rajab Mbarouk alisema anakusudia kupeleka hoja binafsi bungeni ili kumwajibisha Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kwa tukio hilo"HOJA YANGU:Waziri wa Miundombinu wa SMZ kwanini anaachwa, ila Pinda ambaye wazanzibari hawamtambui wanataka awajibishwe? Wao si waliikataa SUMATRA?
Mchungaji, hapo kwenye red: siku hizi mmeacha maji ya uzima wa milele?
Wakuu, nime-quote habari kwenye website ya gazeti la mwananchi kama inavyoonekana hapa chini:
"Mbunge wa Ole, Rajab Mbarouk alisema anakusudia kupeleka hoja binafsi bungeni ili kumwajibisha Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kwa tukio hilo"
HOJA YANGU:
Waziri wa Miundombinu wa SMZ kwanini anaachwa, ila Pinda ambaye wazanzibari hawamtambui wanataka awajibishwe? Wao si waliikataa SUMATRA?
Nimependa point yako -- More than 6 hours watu wamehangaika bila msaada wowote, wengi wao mauti imewapata wakijaribu kujiokoa bila mafanikio.FJM!! Kabla ya maji ya uzima lazima usafishe koo kabla ya maji ya uzima.
Hili suala la ajali ya Meli tuachane na siasa tuepushe kutokea tena. Meli haizami kama shillingi pale Feri, ninaimani ilichukua masaa mengi kwa kuwa taifa letu nila wajinga basi hatukuweza hata kwenda saidia uokozi
Shame to all responsible elite in the govt
nimeipenda hiyo mkuuTusigombanie machozi, tuepushe vilio
Wenzetu wa visiwani hawaachi kunishangaza kwa hili sakata. Ni lama vile akili zap wameweka rehani kwa maruhani.Pinda na kuzama hiyo meli wapi na wapi. Katila hili heri kumuwajibosha Papa wa Roma.Ile dhana ya Zanzibar ni Nchi imeishia wapi?Jamani someni MWANANCHI paragraph ya 17 kwenye habari ya meli ilipakia watu 3000.Someni habari mpaka mwisho mjue sabab.