Ajali ya Meli: SUMATRA, lawama kwa viongozi na suala la muungano

Majoja

JF-Expert Member
Jun 10, 2011
612
186
Wakuu naomba kuwasilisha.

Hili la ajali ya boti ya mizigo na abiria MV Spice Islands inaelekea ilikuwa inasubiri tu kutokea.
Kama kumbukumbu zangu haziniangushi, aidha mwishoni mwa mwaka jana au mwanzoni mwa mwaku huu maofisa wa SUMATRA walifukuzwa , tena kwa kejeli kubwa.

Sababu ya kufukuzwa kwao ni kwamba suala la kusimamia safari za meli sio la Muungano, hivyo basi hawakuwa wanahitajika kule Zanzibar.
Ilikuwa aibu kubwa kwa taasisi yenyewe na serikali ya muungano.

Leo nashangaa kwamba Kamati ya Bunge , chini ya Edward Lowassa inaenda kuchunguza tukio hili. Ni kwa ridhaa ya nani?

Sisi na mimi nawahurumia sana wananchi wasio na hatia waliopoteza maisha yao kwa sababu za kijinga kabisa.
Ni lazima waTanganyika tuwaoe misaada yote inayohitajika kupoza makali ya ajali hii, lakini sikubaliani kuingilia dola linaloelekea kujitenga kwa sababu yoyote ile.

Tunajua fika uwezo wa wenzetu wa Zanzibar pamoja na uswahili uliokithiri. Kabla maafa zaidi hayajatokea katika sekta nyingine inabidi wajifikirie upya katika mtazamo mzima wa Muungano.
 
.......... Director of Zanzibar Port Authority, Mustafa Aboud Jumbe distanced himself from blame(for not supervising as appropriate port and marine activities in Zanzibar), saying the authority was not responsible in overseeing marine transport services (passengers and cargo).

Speaking to our sister newspaper, Nipashe yesterday, Jumbe said “This is the duty of the Surface and Marine Transport Regulatory Authority (SUMATRA), which was established by the law to oversee marine and surface transport sectors.”
Sumatra stopped operations in Zanzibar after Members of the House of Representatives claimed that the authority was operating illegally, as marine transport services was not on the list of Union matters.
Efforts to get director of Zanzibar marine transport, Vuai Haji, did not bear fruit, as his mobile phone was not answered.
In July, this year, Minister of Communications and Transport, Hamad Masoud presented a special report in the House of Representatives, defending marine transport facilities in Zanzibar, saying they did not pose any threat to the lives of travellers.
The minister was responding to the growing public concerns, after seven ships plying Zanzibar developed technical faults.
SOURCE: THE GUARDIAN

Wakuu tunakumbuka wenzetu walivyo watoa mkuku SUMATRA huko Zenj.
Hili ni somo kubwa na MODS mmefuta sredi yangu ya kwanza, mwataka watu waendelee kufa?
 
[h=1]Zanzibar ferry disaster: Scores die, many more rescued[/h]
_55279964_55279963.jpg
Click to play






Captain Neels van Eijk from Whirlwind Aviation flew out over the ocean to help search for survivors and describes what he saw to the BBC

Continue reading the main story[h=2]Related Stories[/h]
At least 187 people have died after an overloaded ferry sank off the Tanzanian island of Zanzibar with at least 800 people on board.
A government spokesman said 620 survivors had been rescued. Three days of mourning have been declared.
The MV Spice Islander was travelling between Zanzibar's main island, Unguja, and Pemba, the archipelago's other main island - popular tourist destinations.
It is thought to have capsized after losing engine power.
Rescue efforts were hampered by the fact that the overloaded boat had capsized at night.
The ship had been bringing people back from holiday after Ramadan, and had reportedly stopped earlier in Tanzania's commercial capital, Dar es Salaam.
The authorities are struggling to cope and have asked for foreign help.
The Zanzibar government has set up a rescue centre and called upon all reserves to join the rescue effort. It has also called for support from other countries, such as South Africa and Kenya.
Washed ashoreThe survivors were ferried by privately owned fast ferries and brought back to the main harbour in the historic Stone Town, Zanzibar police commissioner Mussar Hamis said.
"We are still receiving many bodies by truck loads," Dr Karim Zah of the Mnazi Mmoja Hospital in Zanzibar told Reuters news agency.
_55279298_erbh6z50.jpg
Those rescued were brought back to the main harbour in Stone Town

"The death toll will likely be much higher."
Dozens of soldiers carrying bodies to shore dotted the white sand beaches at the northern tip of Zanzibar island where thousands of people anxiously awaited news of survivors, the agency adds.
Catherine Purvis, a British tourist in Zanzibar who was waiting for a ferry to take her to Dar es Salaam, says she saw lots of bodies being brought out of the water.
"I'm standing at the port in Zanzibar with about 10 other British and American tourists," she said.
"Our ferry has been delayed as they're using all ferries to rescue the people from the ship.
"People are being carried across in front of us on a drip. There are lots of body bags."
Holding onLocal helicopter pilot Captain Neels van Eijk flew over the disaster area.
"We found the survivors holding on to mattresses and fridges and anything that could float," he told the BBC.
_55277002__54271182_zanzibar-1.gif

"By then, there were a few boats that had made their way out. They were looking for survivors, but although the sea wasn't so rough, the waves were high so it was difficult for them to spot them.
"We flew to the boats and guided them to the survivors so that they could pick them up. There were also quite a few bodies in the water."
The ferry left Unguja at around 21:00 (19:00 GMT) and is said to have sunk at around 01:00 (23:00 GMT).
One survivor, Abdullah Saied, said the ferry had been heavily overloaded when it left Dar es Salaam, and some passengers there had refused to board, the Associated Press news agency reports.
 
Hakika tumeingiza Uzanzibari na Uzanzibara katika uhai wa maisha ya waTanzania wwasio na hatia.
Maisha haya hayatapotea bure.
 
Hakika tumeingiza Uzanzibari na Uzanzibara katika uhai wa maisha ya waTanzania wwasio na hatia.
Maisha haya hayatapotea bure.
Ukiona huo Uzanzibari na Utanganyika unaingia hata wakati wa msiba basi quite naturally Muungano una matatizo. Viongozi kila wakiongelea Muungano wanatuambia uko imara (Kikwete akifungua bunge la kumi), hawasemi ukweli. Wanaficha ugonjwa, na matokeo yake Muungano huu naturally unaenda kufia baharini.
 
Ukiona huo Uzanzibari na Utanganyika unaingia hata wakati wa msiba basi quite naturally Muungano una matatizo. Viongozi kila wakiongelea Muungano wanatuambia uko imara (Kikwete akifungua bunge la kumi), hawasemi ukweli. Wanaficha ugonjwa, na matokeo yake Muungano huu naturally unaenda kufia baharini.

Mimi kwa kweli nimeudhika sana kwa insensitivity ya hawa wenzetu.
Badala ya kutafuta mchawi na kumuadabisha wao wanajadili ati VODACOM.
Is life so cheap in the Isles.
Inakera zaidi wale walioifukuza SUMATRA kufanya kazi yake Zanzibar ndio hao wa kwanza kulaumu kuwa " hatulii" enough to their tastes.
Tungependa kusikia hatua za makusudi kurekebisha matatizo haya ili watu masikini wasio na usafiri mwigine wawe na imani na usafiri wa majini Zanzibar.
 
.......Akiandika katika profile yake kwenye facebook,katibu wa CUF ndugu Julius Mtatiro ametoa tamko kali juu ya waziri anayeshikilia wizara inayohusika na usafiri wa majini huko ya SUK(serikali ya umoja wakitaifa)...Na hili ndilo tamko lake.....namnukuu

"..........Japokuwa tuko serikalini znz kwa muda usiozidi mwaka mmoja ni jambo la hatari sana kwa wizara inayoongozwa na waziri kutoka CUF kufanya madudu haya, hata kama alikuta utamaduni wa ku-overload umekwishazoeleka alipaswa kuuondoa immediately. Hivi sasa ni muhimu huyu waziri wetu pia aachie ngazi hata kama hakuhusika. Mambo ya vyama baadaye hivi sasa tuzimamie maisha ya watu. SUK ifanye haraka kumtaka ajipunguze ama sivyo tumpunguze kwa nguvu"

Nadhani ni wakati wa CUF kuonyesha kwa wazi juu ya zana ya uwajibikaji kama ambavyo inasemwa na vyama vyote vya siasa hasa vya upinzani......

 
kwanza awajibishe wale wote ambao wanahusika moja kwa moja .. then ajiuzuru na kuomba radhi waznz
 
.......Akiandika katika profile yake kwenye facebook,katibu wa CUF ndugu Julius Mtatiro ametoa tamko kali juu ya waziri anayeshikilia wizara inayohusika na usafiri wa majini huko ya SUK(serikali ya umoja wakitaifa)...Na hili ndilo tamko lake.....namnukuu


Amekutuma uje umwandikie ujumbe huu aliouweka kwenye facebook huku kwenye JF?
 
malizia sentensi ifuatayo

mameno matupu...............................................
 
Still wanakwepa kugusa tatizo!!! Kama alikuta madudu bajeti yake ya kwanza kushughulikia ni ya Juni hii!

Ina maana hapakuwa na mamlaka zinazohusika na udhibiti wa usalama majini kabla ya June mwaka huu...?
Basi inawezekana ndo zinaundwa..Tuvute subira!
 
Badala ya kuandika kwenye social forums, nadhani alipaswa kuliwakilisha kwenye forum zao ndani ya chama chao...halafu watupatie matokeo.
Sasa mimi nilalamikie huku kwenye social forum, na yeye naye alalamikie huku huku...iwapi tofauti ya mimi na yeye ndani ya cuf?
Siye mtu wa pili huyu au watatu niseme hivyo, kwa Ubossi katika Cuf...?
Anamlalamikia nani sasa!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom