JOYCE PAUL
JF-Expert Member
- Jan 8, 2010
- 1,005
- 82
Wapendwa watanzania wenzangu kijana kwenye picha ni mtoto umri miaka 10 amepata ajali ya moto,yupo muhimbili anahitaji msaada wa chakula,fedha na matibabu kwa ujumla ni gharama.hivyo tunaomba wadau wa jamii forum kama unaweza mwende muhimbili pale mkamsaidie kijana huyu tafadhali.ANAITWA JUSTINE METHOD KALAZWA WODI YA WATOTO FLOOR YA NNE