Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
rip.bwna ametoa na bwna ametwaa jina lake lihimidiwe
Huu ujima nao unatumaliza sana... tumeshaona kuweka majani ni sehemu ya ustaarabu wa usalama barabarani. Mlale mahali pepa wazungu wa3Ninachokiona hpo ni kuwa wazungu 3 hawakiweza kutambua zile ishara zetu za kuweka majani barabarani na hii huwa inawacost foreigners wengi sana kwenye hizi highway zetu...hivi kale kasheria kakutotumia majani kama ishara hakajaanza kufanya kazi eeeh!?..nway R.I.P wazungu 3
Freee maaa @ work
Hao wazungu wataenda mbinguni tu.
Naona dada zetu hii thread wanachangia sana, hawa wazungu bora wafe wengi zaidi ili maelewano kati yetu na dada zetu yaendelee kuwepo. Hawa jamaa wanatukosesha mengi:shock::shock::shock: