Kuna ndg yangu anasafiri kuja Dodoma,amenijulisha kua kuna ajali mbaya imetokea scania mbili zimegongana.Nasikia gari ya pick up ya wazungu imejibamiza ikiwa haijatii amri ya kusimama na kwenda kuovateki na kugonga hiyo scania ilionguka.
Inasemekana wazungu wa 3 wamekufa na mwingine amekimbizwa Tumbi akiwa amepasuka kichwa.
Na hadi hivi sasa kuna road block katika barabara hiyo,hivyo hakuna gari zinazokwenda Dar wala Dom.
Mwenye taarifa nzuri atujuze tafadhali.
Inasemekana wazungu wa 3 wamekufa na mwingine amekimbizwa Tumbi akiwa amepasuka kichwa.
Na hadi hivi sasa kuna road block katika barabara hiyo,hivyo hakuna gari zinazokwenda Dar wala Dom.
Mwenye taarifa nzuri atujuze tafadhali.