FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
Kingine kipi kaka hebu twambieJamani mwendokasi haui mtu kinachoua mtu ni kitu kingine kabisa
R.I.P
Kingine kipi kaka hebu twambieJamani mwendokasi haui mtu kinachoua mtu ni kitu kingine kabisa
R.I.P
umenifanya nicheke hahahaUnafiki wa hali ya juu, kila baada ya saa wanatupia selfie kuonyesha wanalia zaidi. Hizo captions sasa " Umeondoka jamani nani ataniambia nimependeza", "nani nitaenda escape1".
KK alimkamata mwana semester ya mwisho kisa alikuwa anaruka na dogo wa mshikaji wake, kilichompata anakijua mwenyewe.VIP komba kono (kk) alishapoba?
Jiongeze kidogo basi ,mwendo kasi ungekua unaua wanao endesha boeing iliyo na cruising speed ya 0.85 mach si wangekua marehemu ??Kingine kipi kaka hebu twambie
Kweli kafa kifo kibaya sanaMkuu jinsi gari ilivyopata mzinga tu na muonekane wa gari yenyewe marehem lazima alipata shida,kwanza hakufunga mkanda so ktk misukosuko ya ajali na kishindo alijikuta(sijui nisemeje maana inaonekana aliipasua airbag ya kwenye sterling kwa uso wake coz kalaza uso kwenye usukani).hizi airbags huwa wanatengenezea kitambaa kigumu kama turubali ila material yake ni ngumu sana sasa kumpasukia mtu usoni sio jambo dogo.
Kumbe ndio zake eeeh! Sitaki kuamini mahaba yote anayonionyesha mwisho wa siku supu haitanyweka. Asprin , sema neno moja tu na roho yangu itapoa.Teh teh teh. Babu mtata huyo balaa. Ndo maana nikasema nimekaa kando 'mguu ndani, mguu nje' nisikilizie kipindi cha pili, najua tu supu ataitia nazi very soon afu mie kilainiiiii nachukua ushindi wa mezani. Mbio za nyikani huwa sio nguvu kiviiiile, akili tu. lol
samahani mkuu kupima oil ni nini twende pamoja.halafu mashine 6cylinder
cc3000
speed 120Km/h
mkono wa kushoto umepima oil na kukuta moto
kuna nguzo itabaki barabarani?
RIP Dogo
Dah!halafu mashine 6cylinder
cc3000
speed 120Km/h
mkono wa kushoto umepima oil na kukuta moto
kuna nguzo itabaki barabarani?
RIP Dogo
AiseeeR.I.P na pole kwa wafiwa" naskia ni ajali ya pili Marie anatoka mzima yakwanza alikua na bwana wake akavuta wayback mkoa huko mbeya tunduma before hajaja dar es salaam kutafta maisha kuHustle kama watoto wa mjini wasemavyo na Kalvin Marehem alikua akimsomesha Chuo kimoja mjini kati. Naombea tu atoke hospital na reception isiwe imeharibika mana ndio kitega uchumi chake kikubwa maana shape hajajaliwa.
Source Mtu wa karibu
duh nijuze braza log, malecture pale nao Ni balaa, kwa hiyo hajapona had Leo?KK alimkamata mwana semester ya mwisho kisa alikuwa anaruka na dogo wa mshikaji wake, kilichompata anakijua mwenyewe.
Mkuu nlipita hapo social service naona wametuletea kichwa kipya na lile jembe linapigisha darasa chuoni kule daaah nkazan wangekupa wewe ulaji bana au na nyie mna uvatican na ukanda???Tangia Lini TANDALE Ikawa Marekani?
Tangia Lini TANDALE Ikawa Marekani?
Unasema??? Hapo kwenye rangi nyukundu maandishi hayaonekani vizuriMkuu Upo DAR au TANDAHIMBA?
Hapana mkuu c unajua sie kila anaeingia chooni aenda kunya mwingine anahesabu hela teh teh teh