CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Tazama ndoa za wa2 kutokana na maisha yalivyobadilika na watu kuchokana. Jamaa alikaa na cheti chake cha ndoa kwa masaa 4 akikitazama mara mkewe akamuuliza vp leo umekumbuka siku ya ndoa? Mume akamjibu HAPANA
'NATAFUTA EXPIRE DATE YANDOA SIIONI....GUDNITE!!!!
'NATAFUTA EXPIRE DATE YANDOA SIIONI....GUDNITE!!!!