Ralphryder
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,933
- 1,294
Jamaa m1 alikaa masaa ma4 anakichunguza cheti chake cha ndoa, mkewe akamuuliza kulikoni? Jamaa akajibu "Natafuta Expiry Date siioni!!"
nimeipenda sana mkuuJamaa m1 alikaa masaa ma4 anakichunguza cheti chake cha ndoa, mkewe akamuuliza kulikoni? Jamaa akajibu "Natafuta Expiry Date siioni!!"