Airtel 5G - Bundle imeisha ndani ya sekunde 10

TheGreatGenius

Senior Member
Jul 6, 2011
174
429
Baada ya kuona 5G imejitokeza siku ya leo, nikaamua kufanya speed test kuona uhalali wake.

Bundle iliosha kabla speed test kumalizika. Top speed ilifika kwenye 528Mbps Download. Upload sikutest bando ilikata

IMG_3143.png


Pongezi kwa Airtel, sasa mtangaze tu na bando za 5G maana hizi Mb chache ukijichanganya tu utatumia 50,000 kwa siku

UPDATE.
Leo nikajikaza nikasema nimalizie speed test na kuona upload speed iko vipi na ikiwango cha data used ndani ya hizo sekunde chache, matokeo haya hapa. πŸ‘‡πŸΌπŸ‘‡πŸΌ

IMG_3161.png

IMG_3160.png


Total data used kwenye test 1.28GB
 
Baada ya kuona 5G imejitokeza siku ya leo, nikaamua kufanya speed test kuona uhalali wake.

Bundle iliosha kabla speed test kumalizika. Top speed ilifika kwenye 528Mbps Download. Upload sikutest bando ilikata

View attachment 2712900

Pongezi kwa Airtel, sasa mtangaze tu na bando za 5G maana hizi Mb chache ukijichanganya tu utatumia 50,000 kwa siku
🀣🀣🀣🀣 Aisee
 
Speed kama hio kwa mabando haya ya kupimiwa ni kutesana tu, hapo inabidi uwe na unlimted, bila hivyo ni sawa na kufunga engine ya v8 kwenye bajaji ama utumie breki za bajaji kwenye V8.

ila hapo kwenye kupima speed kumaliza bando nakupinga, hili ni zoezi la kutumia wastan wa MB 1, labda wakati huo ulikuwa umebakiza mb 1 tu

edit/update : ni kweli kabisa kwamba kupima speed ya 5g kunatumia takribani GB 1, hii 5g ni balaa, fayaaa
 
Simu zinafilisi basi tu ndio ishakuwa basic need kwa baadhi yetu.
Ndani ya sku 9 zimeshakata GB 13 za Tigo.

Na bado voda ilikuwa na GB 12.. jana niliona ziko 3.

Vocha ni kitu nishashindwa kujibahilia πŸ₯ΉπŸ₯Ή
Najikaza lakini wapiii


View attachment 2712980
lazima unayo VPN sio bure utakuwa mtembeleaji mzuri wa zile sites za kataa ndoa πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Baada ya kuona 5G imejitokeza siku ya leo, nikaamua kufanya speed test kuona uhalali wake.

Bundle iliosha kabla speed test kumalizika. Top speed ilifika kwenye 528Mbps Download. Upload sikutest bando ilikata

View attachment 2712900

Pongezi kwa Airtel, sasa mtangaze tu na bando za 5G maana hizi Mb chache ukijichanganya tu utatumia 50,000 kwa siku
Kikubwa walete unlimited tu!

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom