TheGreatGenius
Senior Member
- Jul 6, 2011
- 174
- 429
Baada ya kuona 5G imejitokeza siku ya leo, nikaamua kufanya speed test kuona uhalali wake.
Bundle iliosha kabla speed test kumalizika. Top speed ilifika kwenye 528Mbps Download. Upload sikutest bando ilikata
Pongezi kwa Airtel, sasa mtangaze tu na bando za 5G maana hizi Mb chache ukijichanganya tu utatumia 50,000 kwa siku
UPDATE.
Leo nikajikaza nikasema nimalizie speed test na kuona upload speed iko vipi na ikiwango cha data used ndani ya hizo sekunde chache, matokeo haya hapa. ππΌππΌ
Total data used kwenye test 1.28GB
Bundle iliosha kabla speed test kumalizika. Top speed ilifika kwenye 528Mbps Download. Upload sikutest bando ilikata
Pongezi kwa Airtel, sasa mtangaze tu na bando za 5G maana hizi Mb chache ukijichanganya tu utatumia 50,000 kwa siku
UPDATE.
Leo nikajikaza nikasema nimalizie speed test na kuona upload speed iko vipi na ikiwango cha data used ndani ya hizo sekunde chache, matokeo haya hapa. ππΌππΌ
Total data used kwenye test 1.28GB