Airport ya dar es salaam (jnia) inatia kinyaa jamani

@Pdiddy...afadhali umetoa na picha kabisa mana ukisema bila ingekuwa tunawaonea.
Airport yetu jamani inatia kinyaa na sio kama wahusika hawaoni la hasha bali ni uzembe wa hali ya juu
airport hata generator nayo ni ishu jamani..kuna siku umeme ukakatika tulikaa lisaa limoja na nusu hakuna hata generator iliyowashwa
wanapita wadada kutangazia cancellation ya ndege..afu ndo tunaiita international airport aibu tupu.unajiuliza kama hii iko hivi hizo nyingine ndogondogo je?
 
Wewe una matatizo...Kwanini usiwaulize TAA pale ofisini kwao unakuja kubandika huku?...
Muda wote uliopo hapo JNIA kama mdau unashindwa hata kutoa maoni yako kwenye ofisi za Maintenance au hata kwenye suggestion Box?
Nijuavyo mimi stakeholders ni sehemu ya huduma, sijui unaona raha gani kuandika badala ya kutoa ushauri, wakati ofisi zenu na za Mafundi ni pua na mdomo!...yES, nimekumbuka, mpo watu wenye silika ya Kulalamika tu, bila kuchangia solution!
Acha udaku bana...Tatizo hilo linajulikana na karibia watu wote wa hapa Uwanjani, na juhudi zinafanyika kulisolve!!...
Angalia hii maneno Ndugu!

Kwa hiyo hata kuziba hivyo viraka huko juu mnangoja kushauriwa kweli kazi ipo, si ajabu imechukua muda mrefu hivyo, kumbe wenzetu mlikuwa mkisubiri ushauri, kwa sasa mshauri yuko busy kidogo, (not reachable) akimaliza kule kwenye magamba atakuja na huko.
 
Kwa hiyo hata kuziba hivyo viraka huko juu mnangoja kushauriwa kweli kazi ipo, si ajabu imechukua muda mrefu hivyo, kumbe wenzetu mlikuwa mkisubiri ushauri, kwa sasa mshauri yuko busy kidogo, (not reachable) akimaliza kule kwenye magamba atakuja na huko.

Wanafanya upembuzi yakinifu maoni na ushauri wenu unafanyiwa kazi
 
kwa heshima ya mzee wetu J.Nyerere waubadilishe jina laJulius Nyerere International Airpprt ni dhihaka kubwa sana kwake na udhalilishwaji wa jina lake.

Hii ndio Tanzania na Serikali ya Chukua Chako Mapema na hivi karibuni wamejivua gamba la nyoka na sasa wana vaa la chatu

Haa haa . Wauite ****** airport maana ndio saizi yake .
 
JNIA ni aibu tupu mkuu... nilipita juzi hapo yani afazali hata KIA mara kumi, airport chafu, joto, hata zile screen za matangazo zimewekwa kama midosho hazifanyi kazi.. :disapointed:
 
Halafu mbona pale kwako kunateketea na husemi kitu!
Tengenezeni kwanza ya chumbani kwenu ndo urukie ya wenzako!...
Kukosa kazi kubaya sana!

Wewe The Black Moses, mbona hii inaonekana ime ku-touch sana kulikoni kaka? mwache mwenzio atusaidie sisi wateja chumbani kwake hatufiki sisi.
 
Uwanja wa Zanzibar je, mmeuona? Hakuna mahali pa kukaa pale nje kuna vibenchi sijui viwili vile, labda kama wamebadilisha siku hizi. mimi nilipigwa sana na jua pale nikisubiri ndege iliyokuwa imeahirishwa. na hiyo nayo inasuburi ushauri?
 
wewe the black moses, mbona hii inaonekana ime ku-touch sana kulikoni kaka? Mwache mwenzio atusaidie sisi wateja chumbani kwake hatufiki sisi.

mkuu hawa si wanaishia vip uwaoni huko chumban kwanza wanaogopa harufu msamehe
 
hivyo voo sasa ndo kiboko afadhali vyoo vya kulipia vya city cansil..puuuu..kichefuchefu
 
Wewe una matatizo...Kwanini usiwaulize TAA pale ofisini kwao unakuja kubandika huku?...
Muda wote uliopo hapo JNIA kama mdau unashindwa hata kutoa maoni yako kwenye ofisi za Maintenance au hata kwenye suggestion Box?
Nijuavyo mimi stakeholders ni sehemu ya huduma, sijui unaona raha gani kuandika badala ya kutoa ushauri, wakati ofisi zenu na za Mafundi ni pua na mdomo!...yES, nimekumbuka, mpo watu wenye silika ya Kulalamika tu, bila kuchangia solution!
Acha udaku bana...Tatizo hilo linajulikana na karibia watu wote wa hapa Uwanjani, na juhudi zinafanyika kulisolve!!...
Angalia hii maneno Ndugu!


Mkuu usimshambulie Pdidy kwa thread hii. Ni mara ngapi watu wamewekewa maoni kwenye maboksi yao ya maoni na hakuna chochote kinachofanyila? Kama raia wa kawaida ana ubavu (mamlaka) gani kwenda TAA na kuwaambia tatizo hilo? Ni vyema ameileta hapa watu tuone na wao (kama na wewe ni mmojawapo) waone na wakubwa waone huenda wahusika wakachukua hatua mapema. Ninachoona hapa ni kuwa huenda wakubwa wakawa hawajuwi haya kwa kuwa wao huwa wanapitia VIP.

Kwa kweli uwanja hauna hadhi kabisa ya kuitwa uwanja wa kimataifa. Joto lililopo ni kama uko kwenye tanuru. Na kama mtu unashuka kwenye ndege ukitokea nchi zenye baridi wakati wa winter ndo balaa.
 
Cha kuchekesha zaidi Airport kuna choo kimoja utadhani shule ya kata
Wewe kaka ni MWONGO SANA...Muulize hata huyo PdIDDY kama kuna ukweli wowote katika unayosema!..kwanini mnapenda kuinsinuate vitu visivyo na uchunguzi?
Msikimbilie kuandika majukwaani mambo yasiyo na uchunguzi!
Nenda kaangalie kwa umakini kwanza kabla ya kutunga na kujidhalilisha!
 
hivyo voo sasa ndo kiboko afadhali vyoo vya kulipia vya city cansil..puuuu..kichefuchefu
Si kweli!
Ni kweli vyoo haviko katika standard ya juu, lakini huwezi kuvilinganisha na vya city...24hrs watu wanapitisha mops...halafu mnasema hovyo hapa!
Aibu watu wazima!
 
Mkuu usimshambulie Pdidy kwa thread hii. Ni mara ngapi watu wamewekewa maoni kwenye maboksi yao ya maoni na hakuna chochote kinachofanyila? Kama raia wa kawaida ana ubavu (mamlaka) gani kwenda TAA na kuwaambia tatizo hilo? Ni vyema ameileta hapa watu tuone na wao (kama na wewe ni mmojawapo) waone na wakubwa waone huenda wahusika wakachukua hatua mapema. Ninachoona hapa ni kuwa huenda wakubwa wakawa hawajuwi haya kwa kuwa wao huwa wanapitia VIP.

Kwa kweli uwanja hauna hadhi kabisa ya kuitwa uwanja wa kimataifa. Joto lililopo ni kama uko kwenye tanuru. Na kama mtu unashuka kwenye ndege ukitokea nchi zenye baridi wakati wa winter ndo balaa.
Tanzania is just Tanzania, and its so much unfair to wish it were another country!
Kwanini tunaanza ndoto za kutaka kuwa tungekuwa WENGINE wakati ni sisi?...
Acheni hizo jameni!
 
Uwanja wa Zanzibar je, mmeuona? Hakuna mahali pa kukaa pale nje kuna vibenchi sijui viwili vile, labda kama wamebadilisha siku hizi. mimi nilipigwa sana na jua pale nikisubiri ndege iliyokuwa imeahirishwa. na hiyo nayo inasuburi ushauri?
Sasa wewe unaonyesha haukuwa msafiri, bali aidha ulikuwa mtu wa lifti, au umeenda kupokea wakubwa!...
Hapo kwenye red ulikuwa unatafuta nini nje...kwanini hukukaa ndani kama wewe ulikuwa abiria?...
Au ni kiwanja gani chenye facilities zinazoweza ku'accomodate raia wote wanaoenda Airport ku'refresh mind?
Hatuwezi madai mengine ni ya Uswahili zaidi!
 
Nimekuwa msafiri wa ndege mara nyingi sana tangu mwaka juzi hizi sehemu ziko wazi leo nimeona niwaulize ndugu zangu je hii airport ina management ama ndio uongozi kama wakina makamba jamani??? hii ni aibu rais upiti kule ndio maana auoni uozowanaofanya wafanyakazi wa mamlaka ya uwanja wa ndege...kila sehemu kwenye gape wameandika DAIKINI UNDER MAINTANANCE jamani huu upuuzi mpaka lini embu waziri husika kuweni sirrias jamani najua mwaweza danganya wa nje imetokana na mabomu je sie tunaopita miaka mitatu sasa mnatuambiaje

Huuu ukarabati embu serikali fwatilien jamani hii kampuni inajenga ziaid ya mwaka hizi lift..na huko juu sasa hawa wanaootoa malipo lazima watueleze wanatoaje watu wanaishia kutubandikia matangazo uwanjan na kuacha roof ziko wazi....










Kazi ipo kwani hawapati faida?​
 
kwa kweli airport yetu ukilinganisha na airport za wengine, ni kama kichaka tu!

miaka 50 ya uhuru chini ya CCM!

leo ndio wanakumbuka kujiparura magamba!!
 
Wewe kaka ni MWONGO SANA...Muulize hata huyo PdIDDY kama kuna ukweli wowote katika unayosema!..kwanini mnapenda kuinsinuate vitu visivyo na uchunguzi?
Msikimbilie kuandika majukwaani mambo yasiyo na uchunguzi!
Nenda kaangalie kwa umakini kwanza kabla ya kutunga na kujidhalilisha!

Mkuu unataka nimuulize nani? labda wewe unaefanya mambo kwa uchunguzi ebu tuambie pale Airport nje kuna vyoo vingapi, tufahamishe kaka
 
wewe kaka ni mwongo sana...muulize hata huyo pdiddy kama kuna ukweli wowote katika unayosema!..kwanini mnapenda kuinsinuate vitu visivyo na uchunguzi?
Msikimbilie kuandika majukwaani mambo yasiyo na uchunguzi!
Nenda kaangalie kwa umakini kwanza kabla ya kutunga na kujidhalilisha!

mkuu blackmoses wanachoandika hapa wamefanya uchunguzi na ni kweli..nje kuna choo kimoja..vilikuwa viwili na kile cha kushoto mwa ofisi yako akifanyi kazi kina miezi kadhaa unless utuambie unajisaidia nje ya kile choo kinachofanyakazi ni kile cha kulia karibu na tax driver wako..kumbuka hao ni abiria wako nje usichanganye na vyoo vya mabosi wako ofisin mwao..kama una ushahdi nikueltee picha ya choo kilichofungwa?? Akuna anaependa kuishi hivi ukiona unatetea ujinga ujue hata kwako ukiona kuchafu unafuarahia..ndio maana nikaakuuliza tena una uhakika una cho ""kinena"""???
 
Back
Top Bottom