Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
- Thread starter
- #41
sasa wewe unaonyesha haukuwa msafiri, bali aidha ulikuwa mtu wa lifti, au umeenda kupokea wakubwa!...
Hapo kwenye red ulikuwa unatafuta nini nje...kwanini hukukaa ndani kama wewe ulikuwa abiria?...
Au ni kiwanja gani chenye facilities zinazoweza ku'accomodate raia wote wanaoenda airport ku'refresh mind?
Hatuwezi madai mengine ni ya uswahili zaidi!
mkuu black moses
embu tusaidie yale mabench pale nje jnia yanakaliwa na wanaosubiri abiria pekee ama???mbona abiria wengi wakisubiiri ndege wanakaa nje ..embu saidia ukwweli na wewe ujisikie siku moja umekaa kwenye uwanja wa ndege ulio na hadhi..usikae tu ili mradi uko kwenye ac unarudi kwako..kaa ufikirie sikumoja mwanao atapita uwanjan na kufurahia baba alifanya kazi haapa kweli walitumika...tussishi kama tunakufa kesho just kujaza matumbo tuangalien kesho mkifa mtajibu nini mbele za mungu si wote wanabahatika kuomba msamaha wakati wanakufa so tuwe makini na hili...
Gday mkuu
bm