Airport ya dar es salaam (jnia) inatia kinyaa jamani

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,148
Nimekuwa msafiri wa ndege mara nyingi sana tangu mwaka juzi hizi sehemu ziko wazi leo nimeona niwaulize ndugu zangu je hii airport ina management ama ndio uongozi kama wakina makamba jamani??? hii ni aibu rais upiti kule ndio maana auoni uozowanaofanya wafanyakazi wa mamlaka ya uwanja wa ndege...kila sehemu kwenye gape wameandika DAIKINI UNDER MAINTANANCE jamani huu upuuzi mpaka lini embu waziri husika kuweni sirrias jamani najua mwaweza danganya wa nje imetokana na mabomu je sie tunaopita miaka mitatu sasa mnatuambiaje

Huuu ukarabati embu serikali fwatilien jamani hii kampuni inajenga ziaid ya mwaka hizi lift..na huko juu sasa hawa wanaootoa malipo lazima watueleze wanatoaje watu wanaishia kutubandikia matangazo uwanjan na kuacha roof ziko wazi....
 

Attachments

  • dar airport.jpg
    dar airport.jpg
    251.4 KB · Views: 289
  • dar aport 2.jpg
    dar aport 2.jpg
    271.3 KB · Views: 267
huyo ponjoro anatetemeka hata kutoa tkt alipoangalia juu
 
unaweza ukahisi ni ofisi za GENERALTYRE LA HASHA NI UWANJA WA NDEGE WA TAIFA WA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE....HAYO MACHUMA YANA MWAKA NA WATU WANAKUJA KUTENGENEZA KILA SIKU EMBU TUSAIDIEN NAO WAMEAJIRIWA NA TAA AMA NDIO KUPEANA ULAJI YAWEZEKANA KUNA KAMPUNI ZENYE UWEZO WA KUTENGENEZA KWA MUDA MCHACHE EMBU WAH MAWAZIRI ACHEN KUKALIA VITI VYA VIP KULE NA AC NENDEN MKAONE WANANCHI WALIOWACHAGUA WANAPOPITIA SIKU CHUMA KINASHUKA KUTOKA JUU SIJUI MNASEMAJE..???







 
Mkuu hili nchi linaongozwa tu imradi siku ziende. Hakuna malengo wala nini.

Mtu akiwa omba omba hawezi kufikiria kujiendeleza hata siku moja hili atoke katika hali ya kuomba. Anaishia kuwa mlemavu wa kuomba omba mpaka siku yake ya mwisho.

Hapo sasa viongozi wanasubiri mtalii ajitolee kukarabati hio sehemu sio kwamba hawaoni, hapana sema wameshazoea kusaidiwa kila kitu kuanzia mawazo mpaka kuona matatizo.


Uliona walivyojikusanya na matai yao wanazindua zima moto ya bajaji?
 
Wewe una matatizo...Kwanini usiwaulize TAA pale ofisini kwao unakuja kubandika huku?...
Muda wote uliopo hapo JNIA kama mdau unashindwa hata kutoa maoni yako kwenye ofisi za Maintenance au hata kwenye suggestion Box?
Nijuavyo mimi stakeholders ni sehemu ya huduma, sijui unaona raha gani kuandika badala ya kutoa ushauri, wakati ofisi zenu na za Mafundi ni pua na mdomo!...yES, nimekumbuka, mpo watu wenye silika ya Kulalamika tu, bila kuchangia solution!
Acha udaku bana...Tatizo hilo linajulikana na karibia watu wote wa hapa Uwanjani, na juhudi zinafanyika kulisolve!!...
Angalia hii maneno Ndugu!
 
Fidel 80
haya ndi mambo tusiotaka aiwezekan mtu anatengeneza sehemu miaka mitatu kuna machimbo ya madini anachimba..wapendwa kuna sehemu ya kupandishia ngazi wamefukunyua sasa ni miezi 5 watu wanapanda manual..bila ngazi na watu wamekaa kimya wanapishana na magreese dem management atuziitaj nowdays
 
wewe una matatizo...kwanini usiwaulize taa pale ofisini kwao unakuja kubandika huku?...
Muda wote uliopo hapo jnia kama mdau unashindwa hata kutoa maoni yako kwenye ofisi za maintenance au hata kwenye suggestion box?
Nijuavyo mimi stakeholders ni sehemu ya huduma, sijui unaona raha gani kuandika badala ya kutoa ushauri, wakati ofisi zenu na za mafundi ni pua na mdomo!...yes, nimekumbuka, mpo watu wenye silika ya kulalamika tu, bila kuchangia solution!
Acha udaku bana...tatizo hilo linajulikana na karibia watu wote wa hapa uwanjani, na juhudi zinafanyika kulisolve!!...
Angalia hii maneno ndugu!

una uhakika unacho (kinena)??
 
Fidel 80
haya ndi mambo tusiotaka aiwezekan mtu anatengeneza sehemu miaka mitatu kuna machimbo ya madini anachimba..wapendwa kuna sehemu ya kupandishia ngazi wamefukunyua sasa ni miezi 5 watu wanapanda manual..bila ngazi na watu wamekaa kimya wanapishana na magreese dem management atuziitaj nowdays

Nimeambiwa jamaa anaendelea kufanya upembuzi yakinifu huu unaweza endelea hata miaka 5 na anaendelea kula fungu tu.
 
Mkuu Black Moses
unajua hata makamba alipooandika barua ya kujiuzulu sio kwambaa akupigiwa kelele......,alisemwa sana sana lakini mwisho wa siku nahisi unaujua,,hata rais wa ivory coast si kwamba akuambiwa ondoka mwisho wa siku anakutwa kwenye tendo la ndoa..so labda tukusaidie wamesema sana na kizuri umeandika binafsi wanajua hili sasa kama wanajua hili na wameambiwa wana zaidi ya mwaka ulitaka tukawambie tukiwa uchi ndio watekeleze???BM acha bana hata kama kuna ka ten P kana ingia kuwa muungwana jamani angalien tourist wangapi wanapita pale njooni tupasuen kwenye barabara wekeni hata lami za mgomba poa tu tutapita lakini ile mnatia aibu..embu mwambie bosi wako mrekebishe


MH AGUSTINO L MREMA TUNAOMBA AUDITING YA HAWA JAMAA
 
Wewe una matatizo...Kwanini usiwaulize TAA pale ofisini kwao unakuja kubandika huku?...
Muda wote uliopo hapo JNIA kama mdau unashindwa hata kutoa maoni yako kwenye ofisi za Maintenance au hata kwenye suggestion Box?
Nijuavyo mimi stakeholders ni sehemu ya huduma, sijui unaona raha gani kuandika badala ya kutoa ushauri, wakati ofisi zenu na za Mafundi ni pua na mdomo!...yES, nimekumbuka, mpo watu wenye silika ya Kulalamika tu, bila kuchangia solution!
Acha udaku bana...Tatizo hilo linajulikana na karibia watu wote wa hapa Uwanjani, na juhudi zinafanyika kulisolve!!...
Angalia hii maneno Ndugu!

Tunajua bado mnafanya upembuzi yakinifu.
Vile vile tunasubili vifaa vitoke Brazil kuvisafilisha inachukua miezi 6.
 
Fidel 80
haya ndi mambo tusiotaka aiwezekan mtu anatengeneza sehemu miaka mitatu kuna machimbo ya madini anachimba..wapendwa kuna sehemu ya kupandishia ngazi wamefukunyua sasa ni miezi 5 watu wanapanda manual..bila ngazi na watu wamekaa kimya wanapishana na magreese dem management atuziitaj nowdays
Halafu mbona pale kwako kunateketea na husemi kitu!
Tengenezeni kwanza ya chumbani kwenu ndo urukie ya wenzako!...
Kukosa kazi kubaya sana!
 
kwa heshima ya mzee wetu J.Nyerere waubadilishe jina laJulius Nyerere International Airpprt ni dhihaka kubwa sana kwake na udhalilishwaji wa jina lake.

Hii ndio Tanzania na Serikali ya Chukua Chako Mapema na hivi karibuni wamejivua gamba la nyoka na sasa wana vaa la chatu
 
Back
Top Bottom