Mwanaginingi
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 464
- 399
Aiseee!!Naona Tanzania Ya Uchumi Wa Kati Inakaribia
Aiseee Ina maana hii Ndege ilisimama na Bombardier itakuwa kama Hasheem Thabit na Tausi yule mchekeshaji.
ThisNasikia baada ya kutua Bombardier zimetimua mbio kuelekea zbar kwa safari ya gafla.
Yani awamu hii ni mwendo wa kutembea vifua mbele kama watu walipigwa ngumi za mgongo.
Sisi ndo dona country yani ni sembe la dona hapa tunapata manguvu
Uwanja ni mdogo kweli pia hakuna facilities za kuwezesha kushusha abiria kwa wakati mmoja bridge ni moja hakuna inayoweza fika katika decker ya kwanza...Aisee! wamejitahidi sana,kwa watu wanaosafiri sana wanaijua hii ndege huwa tunaenda kuipandia Beijing...huku huwa tunaambiwa uwanja mdogo leo imetua!
Imenilazim kucheka peke yanguIssue kuruka sasa
Watu wanatania ye kakunja nditaDah! watu wengine kila kitu mnachukulia serious. Mhhh
Wapi ? Ile trilioni 1.5 hainunui hizi mbili ?Lina hadi Swimming Pool humo ndani, bonge moja la ndege, Bei yake ni US$375.3 million. Tutakula sana nyasi hadi inunuliwe
Kuna sehemu Magufuli anapewa credits au ni Sacarsm ?What has Magufuli got to do with this? Kama thinking ya WaTz wengi ipo hivi basi tunayo safari ndefu. Mlitaka iende ikatue wapi na mmeambiwa ni emergency Magu ndio amesababish Hali ya hewa kuwa ilivyo
At least mngempa credit Mheshimiwa JK maana miradi yake mingi ilikamilika pamoja na uwanja huu. Let's be serious ingetua chattle je ingekuwaje??
Gotcha you!Kuna sehemu Magufuli anapewa credits au ni Sacarsm ?