Airbus A380 kwa mara ya kwanza imetua Tanzania uwanja wa JNIA

Kuna kipofu mmoja alipata kutibiwa macho akaona siku hiyo alipoona kitu cha kwanza kukiona ilikuwa ni punda, Baada ya kuona kwa muda mfupi akarudi kwenye hali yake ya kawaida.

Alipokuwa anaambiwa kuwa gari ni kubwa alikuwa analinganisha na ukubwa wa punda kwa kila kitu hadi nyuma.
Khah!
 
What has Magufuli got to do with this? Kama thinking ya WaTz wengi ipo hivi basi tunayo safari ndefu. Mlitaka iende ikatue wapi na mmeambiwa ni emergency Magu ndio amesababish Hali ya hewa kuwa ilivyo
At least mngempa credit Mheshimiwa JK maana miradi yake mingi ilikamilika pamoja na uwanja huu. Let's be serious ingetua chattle je ingekuwaje??
 
Mkiambiwa vijana wa lumumba ni vilaxa mnakataa sasa ndege imetua kwa zarura we unaleta sifa kwa jpm hahahahhaa
Kilaza ni wewe kwa kuwa hujajiongeza ndugu. Uwanja wetu kuwa na uwezo wa kupokea ndege kubwa umeanza lini kama si kwa jitihada za aliyewashika pabaya ndugu zake mange na watoto wa ufipa na si mwingine zaidi ya JPM the special one??!! JNIA unakuwa uwanja wa kipekee soon nakushauri utembee kidogo acha kung'ang'ania mitandao tu.
 
What has Magufuli got to do with this? Kama thinking ya WaTz wengi ipo hivi basi tunayo safari ndefu. Mlitaka iende ikatue wapi na mmeambiwa ni emergency Magu ndio amesababish Hali ya hewa kuwa ilivyo
At least mngempa credit Mheshimiwa JK maana miradi yake mingi ilikamilika pamoja na uwanja huu. Let's be serious ingetua chattle je ingekuwaje??
Lugha bwana ina raha yake ukiielewa.
Unaweza hisi ulichosoma kina maana hii kumbe kina maana tofauti....
Sometimes tunafurahisha jukwaa tu hatuko serious.
 
Back
Top Bottom