Billal Saadat
Senior Member
- Nov 30, 2022
- 169
- 356
Katika hali ambayo haijatarajiwa na wengi ni kutokana na muitikio hafifu wa wanachama wa CHADEMA katika mkutano uliopangwa kufanyika katika viwanja vya shule ya sekondari Nyerere hapa Tunduma.
Watu wa Tunduma kisiasa husemekana ni watu wenye Joto la mageuzi lakini hali ni tofauti hadi muda huu ambao mkutano ulipangwa kuanza hakuna mwitikio wa Watu.
Mwabukusi anatajwa kama sehemu ya kukwamisha mkutano huu, wana CHADEMA wengi kukosa shauku ya kuhudhuria mkutano huu.
Tazama picha ujioneee hali halisi.
Watu wa Tunduma kisiasa husemekana ni watu wenye Joto la mageuzi lakini hali ni tofauti hadi muda huu ambao mkutano ulipangwa kuanza hakuna mwitikio wa Watu.
Mwabukusi anatajwa kama sehemu ya kukwamisha mkutano huu, wana CHADEMA wengi kukosa shauku ya kuhudhuria mkutano huu.
Tazama picha ujioneee hali halisi.