njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Oyaaaa , taratibu jamani embu tuwekane sawa naona vichaa wanasema huyu jamaa ndiye kawapa mafanikio mazembe
Idiots, huyu alikuwa afisa wa kawaida tu pale mazembe kama vile kina Asha baraka pale simba, mazembe hawana structure ya CEO, mkubwa kicheo ni President/ chairman Moise katumbi na anayemfuatia kwa nguvu hapo klabuni ni sporting director Fredrick kitenge
Andre Mtine 2007 yeye pamoja na wafanyakazi kadhaa wa shirika la posta alikamatwa kwa wizi wa kwacha millions 100 na akashtakiwa kwa utakatishaji fedha katika KESI ILIYOHUSISHA MADAWA YA KULEVYA KUPITIA SHIRIKA LA POSTA
2014 alifungiwa MAISHA kujihusisha na soka nchini zambia baada ya kusababisha mzozo mkubwa wa kisoka kati ya zambia na DRC congo uliokuwa mkubwa hadi ikasababisha serikali za nchi hizo kuingilia kati na kuyamaliza
issue ilikuwa hivi
Akiwa afisa wa Tp mazembe alihusika kudanganya kwamba wachezaji wa kizambia , kalaba, sunzu na sinkala ni wagonjwa wakakosa game la kirafiki na Brazili lililopigwa china
Wachezaji hao walipoingia zambia , serikali ya nchi hiyo ilishikilia passport zao wasiweze kurudi lubumbashi kwa ajili ya mechi yao vs stade de malien lakini mwamba huyu aliwatorosha kwa njia za panya kupitia ndola, timbwili lilikuwa refu
Pia alikuwa mtunza hazina wa chama cha soka cha zambia alipofukuzwa kwa tuhuma za wizi
MY TAKE: HUYU SIYO SENZO KWA HAKIKA TFF KAZI MNAYO MMELETEWA MTU WA TIMBWILI KWELIKWELI MLIDHANI SOPE TAKADINI ANAJUA KULIANZISHA , MMELETEWA SOPE TAKADINI WA KIMATAIFA, LOL BIRDS OF THE SAME FEATHERS FLOCK TOGETHER
Idiots, huyu alikuwa afisa wa kawaida tu pale mazembe kama vile kina Asha baraka pale simba, mazembe hawana structure ya CEO, mkubwa kicheo ni President/ chairman Moise katumbi na anayemfuatia kwa nguvu hapo klabuni ni sporting director Fredrick kitenge
Andre Mtine 2007 yeye pamoja na wafanyakazi kadhaa wa shirika la posta alikamatwa kwa wizi wa kwacha millions 100 na akashtakiwa kwa utakatishaji fedha katika KESI ILIYOHUSISHA MADAWA YA KULEVYA KUPITIA SHIRIKA LA POSTA
2014 alifungiwa MAISHA kujihusisha na soka nchini zambia baada ya kusababisha mzozo mkubwa wa kisoka kati ya zambia na DRC congo uliokuwa mkubwa hadi ikasababisha serikali za nchi hizo kuingilia kati na kuyamaliza
issue ilikuwa hivi
Akiwa afisa wa Tp mazembe alihusika kudanganya kwamba wachezaji wa kizambia , kalaba, sunzu na sinkala ni wagonjwa wakakosa game la kirafiki na Brazili lililopigwa china
Wachezaji hao walipoingia zambia , serikali ya nchi hiyo ilishikilia passport zao wasiweze kurudi lubumbashi kwa ajili ya mechi yao vs stade de malien lakini mwamba huyu aliwatorosha kwa njia za panya kupitia ndola, timbwili lilikuwa refu
Pia alikuwa mtunza hazina wa chama cha soka cha zambia alipofukuzwa kwa tuhuma za wizi
MY TAKE: HUYU SIYO SENZO KWA HAKIKA TFF KAZI MNAYO MMELETEWA MTU WA TIMBWILI KWELIKWELI MLIDHANI SOPE TAKADINI ANAJUA KULIANZISHA , MMELETEWA SOPE TAKADINI WA KIMATAIFA, LOL BIRDS OF THE SAME FEATHERS FLOCK TOGETHER