Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 5,688
- 8,927
Eti?
Job true true 😂😂😂Hii ndio ile "if you can't convince them confuse them" 😃
😹😹Kwa ambao hatujaelewa embu tupeni mkalimani
Japo imekosea ila kwakweli AI sipati picha mwaka 2040 huko itakuwaje. Aisee ni hatari kitakachifuata sasa kutumia Ai itakuwa integrated na machines unaingia mtandaoni unachagua vitu machines zinapakia kwenye self driving car vinaletwa kwako bila any human kushiriki kwenye mchakato na malipo unalipa kwa crypto
It means garbage-in garbage-out.
Mhh....It means garbage-in garbage-out.
Ukikosea ku prompt jiandae kwa vituko.
MhhAI inafanyakazi vile unavyo icommand nafikiri aliye command hiyo picha huenda kiingereza kinamsumbua au grammar ni shida so sentence aliyoandika AI imletee picha haikuwa inaeleweka kwenye kiingereza kilichonyooka mfano jinsi AI Inavyofanyakazi unaandika type Maneno ya picha unayoitaka then mfumo wa computer unatengeneza picha hiyo Kwa ajili yako.mfano "picha ya mwanaume kashusha mguu nje ya gari kamkumbatia mwanamke pembeni Kuna bwawa la kuogelea na watoto wanacheza nyuma Kuna gari za kifahari zimepaki".nafikiri nimeeleweka
Hapa nadhani shida ipo kwa aliye-command na sio AI. Ungeshare na jinsi alivyo-command tuone.
PossiblyHapa shida ipo kwa aliye-command na sio AI. Ungeshare na jinsi alivyo-command tuone.
Ingekuwa vyema kama ungeshare na input yake iliyopelekea hiyo output.Possibly
Hakuna cha command wala nini.AI inafanyakazi vile unavyo icommand nafikiri aliye command hiyo picha huenda kiingereza kinamsumbua au grammar ni shida so sentence aliyoandika AI imletee picha haikuwa inaeleweka kwenye kiingereza kilichonyooka mfano jinsi AI Inavyofanyakazi unaandika type Maneno ya picha unayoitaka then mfumo wa computer unatengeneza picha hiyo Kwa ajili yako.mfano "picha ya mwanaume kashusha mguu nje ya gari kamkumbatia mwanamke pembeni Kuna bwawa la kuogelea na watoto wanacheza nyuma Kuna gari za kifahari zimepaki".nafikiri nimeeleweka
Picha nimeiona sehemuHebu weka hapa maneno uliyotumia kuicommand ili ikutengenezee picha 😂😂😂 maana ukikosea kitu yenyewe ni mbele kwa mbele ! Pia ukiandika vitu vingi viingie katika picha matokeo yake ndo yanakua hivyo. Maelekezo inabidi ya rahisi na ya kueleweka si unajua kilikuja na meli.
Kuna picha nilizitengeneza zinachekesha sana
AiseeHakuna cha command wala nini.
Hata mtoto wa darasa la pili ukimwambia chora baba na mama wameegemea gari halafu watoto wanacheza kwa swimmingpool hawezi akachora utumbo kama huo.
AI ni uppuuzi mmojz uliowakamata wapuuzi wanaojiona wanaenda na teknolojia kumbe ni washamba wa teknolojia.
Hakuna technology ya ku replace human brain NEVER EVER wanajaribu tu ila wanashindwa tukiwaona.
Washamba ndo wanawaona wanaweeza..
Tayar ilishafika huko.wala huna hajanya kusubiri 2040. Sema hii haiko huku africa. Huku endeleeni na haya ma garbage ya kuchora katuni ad tujifanye kuona ndio AIJapo imekosea ila kwakweli AI sipati picha mwaka 2040 huko itakuwaje. Aisee ni hatari kitakachifuata sasa kutumia Ai itakuwa integrated na machines unaingia mtandaoni unachagua vitu machines zinapakia kwenye self driving car vinaletwa kwako bila any human kushiriki kwenye mchakato na malipo unalipa kwa crypto