Iko siku mtu ataambiwa kula kinyesi chako, na atavua nguo na kunya kisha kula kinyesi chake bila kufikiri mara mbili kwa hii nidhamu ya uoga inayopandikizwa
Sasa unataka kusema nini??????!!!!! Uwe na adabu na heshima katika uandishi wako...
Iko siku mtu ataambiwa kula kinyesi chako, na atavua nguo na kunya kisha kula kinyesi chake bila kufikiri mara mbili kwa hii nidhamu ya uoga inayopandikizwa
Acha ujinga wako nyangumi wewe, wamkufuru Mungu kisa tumbo lako?Kwa magufuli kila goti litapigwa twende naye pamoja.
Kwa hiyo wewe unatakaje labda!!!???Je hizo ofisi zina miundo mbinu yote ya kuifanya kuwa wodi au ndio ile ku force kingi?
Iko siku mtu ataambiwa kula kinyesi chako, na atavua nguo na kunya kisha kula kinyesi chake bila kufikiri mara mbili kwa hii nidhamu ya uoga inayopandikizwa
View attachment 323207
View attachment 323208
Agizo la Rais Magufuli kuwataka watumishi wa Muhimbili kuhama ofisi ndani ya siku mbili ili kuwaachia majengo wagonjwa waliokosa nafasi hospitalini hapo laanza kutekelezwa.
Rais alitoa agizo hilo alipoenda kumjulia hali Mufti mkuu wa Waislamu Tanzania, sheikh Abubakari Zuberi aliyelazwa hospitalini hapo na kukuta mazingira ya wagonjwa wa wodi ya wazazi yakiwa hayaridhishi, ambapo alikutana na malalamiko ya wakina mama waliomfuata na kumueleza kuwa wamekuwa wakilazwa hadi watano kitanda kimoja huku mazingira yakiwa machafu kutokana na maji kuchuruzika kutoka maliwatoni.
Ofisi hizo zilizokuwa zikitumika na watumishi wa wizara ya afya sasa imeagizwa zirejeshwe chini ya Hospitali ya Taifa Muhimbili walau kupunguza tatizo.
Habari na iwafikie..
View attachment 323207
View attachment 323208
Rais alitoa agizo hilo alipoenda kumjulia hali Mufti mkuu wa Waislamu Tanzania, sheikh Abubakari Zuberi
Hakuna 'haters' wa makufuli, bali kuna 'critics'. Tatizo la magambas hamtaki kusahihishwa hata mnapofanya visivyo. mkisahihishwa mnahamaki na kuwaita wasahihishaji 'haters' au 'wivu wa kike'! Kama kusingekuwepo na critics wakali wa mfumo wa uliochoka uliofikia kilele chake katika awamu ya 4, leo hii tungekuwa na Maembe akiendeleza yale yale ya 'business as usual' na mgekuwa mnamsifia!haters wa magufuli njooni huku
Nani amesema Rais ni Mungu?. Nani aliyesema hao walioweka ofisi hapo ni wajinga?Kwani raisi ni Mungu?hakosei?hao walioiweka hiyo ofisi hapo ni wajinga?
Wewe unadhani walioiweka hiyo ofisi walikuwa wanafanya nini? Nielimishe!Unajua hao waliyoiweka hiyo ofisi hapo walikua wanafanya nini?kwanini waiweke hapo?
Nielimishe hizo athari? Unafahamu kwa sasa ofisi yao itakuwa wapi?Unajua athari zitakazojitokeza kwa hiyo ofisi kutokuwepo hapo?
Kwa uamuzi huu, Serikali inatekeleza jukumu lake ambalo ni kuhakikisha wananchi wake wanapata huduma bora za afya.Serikali itekeleze jukumu lake siyo kwa kufukia fukia namna hii
Kwa jinsi unavyoandika hayo majina tu inaonyesha jinsi gani ubongo wako ulivyooza.Hakuna 'haters' wa makufuli, bali kuna 'critics'. Tatizo la magambas hamtaki kusahihishwa hata mnapofanya visivyo. mkisahihishwa mnahamaki na kuwaita wasahihishaji 'haters' au 'wivu wa kike'! Kama kusingekuwepo na critics wakali wa mfumo wa uliochoka uliofikia kilele chake katika awamu ya 4, leo hii tungekuwa na Maembe akiendeleza yale yale ya 'business as usual' na mgekuwa mnamsifia!
Hizo ofisi zilikuwa na vitanda na magodoro? Kwa wale wataalamu wa ujenzi na wadhibiti majengo mlio hapa jamvini, je, ofisi hata kama haina dirisha inaweza tumika kwa malazi? Haya kwa nchi nyingine halali mtu chumba kisichokuwa na dirisha kwani kama kuna hatari ya moto ni vigumu kujiokoa au kuokolewa. Hivyo ni vema amri ya kuhamia wizarani ingewahusu wale tu wenye ofisi zinazoweza tumika kwa malazi. Lakini kwa sababu hapa ni kazi tu hata wasiohusika watahamishwa. Hivyo ningeshauri kubadlisha msemo kidogo, yaani HAPA NI KAZI TU KWA KUTUMIA MAARIFA.View attachment 323207
View attachment 323208
Agizo la Rais Magufuli kuwataka watumishi wa Muhimbili kuhama ofisi ndani ya siku mbili ili kuwaachia majengo wagonjwa waliokosa nafasi hospitalini hapo laanza kutekelezwa.
Rais alitoa agizo hilo alipoenda kumjulia hali Mufti mkuu wa Waislamu Tanzania, sheikh Abubakari Zuberi aliyelazwa hospitalini hapo na kukuta mazingira ya wagonjwa wa wodi ya wazazi yakiwa hayaridhishi, ambapo alikutana na malalamiko ya wakina mama waliomfuata na kumueleza kuwa wamekuwa wakilazwa hadi watano kitanda kimoja huku mazingira yakiwa machafu kutokana na maji kuchuruzika kutoka maliwatoni.
Ofisi hizo zilizokuwa zikitumika na watumishi wa wizara ya afya sasa imeagizwa zirejeshwe chini ya Hospitali ya Taifa Muhimbili walau kupunguza tatizo.
Habari na iwafikie..
wee kengeKwa magufuli kila goti litapigwa twende naye pamoja.
Mtanyooka tu dalili zimeshaanza kuonekanaKwani raisi ni Mungu?hakosei?hao walioiweka hiyo ofisi hapo ni wajinga?
Unajua hao waliyoiweka hiyo ofisi hapo walikua wanafanya nini?kwanini waiweke hapo?
Unajua athari zitakazojitokeza kwa hiyo ofisi kutokuwepo hapo?
Serikali itekeleze jukumu lake siyo kwa kufukia fukia namna hii