Toa ufafanuzi ili nikuelewe kisha nichangie:Hili jambo limewatia aibu karibu walokole wote duniani
View attachment 1032982
Bila shaka walokole wa Tanzania mna cha kujifunza
Ya Yeriko ndio ipi mkuuMimi nilishaapa bora kujiunga na dini ya Yericko Nyerere kuliko kusali sijui kwa Kakobe, Gwajima, au Mzee wa Upako ni matapeli kama matapeli wengine tu.
Unatumia kigezo ghani dada kuwaita feki ? wewe mwenyewe ulishashuhudia wakifanya mambo kwa ufeki ? au unasikiliza maoni ya watu ?Hata kama ndio kutafuta pesa sio kwa dizaini hizi,.hawa manabii fake nadhani moto wao haujazimuliwa hata mara moja...shenzy zao mfyuuu!😏😏!!!
Tangia waujue wokovu walishatahadharishwa hayo ya kwamba zipo nyakati watumishi wa namn fulani watajitokeza . Ni watu wa mataifa ndiyo mambo hayo ni mageni kwao . Ila waamini wa kweli wa Yesu Kristo wanaijua dunia na mienendo yake (mabadiliko kulingana na wakati ) zaidi ya uwadhahaniavyo . HURUMA YAO NI KWENU NINYI AMBAE MUNGU WA DUNIA HII KAPOFUSHA MACHO YENU .Hili jambo limewatia aibu karibu walokole wote duniani
View attachment 1032982
Bila shaka walokole wa Tanzania mna cha kujifunza
Kama ulokole ni biashara anza uone utakayoyapata. Only annoint brings peope and money
Bado wapo na Mungu anaendelea kuwatumiawalokole wa kweli ni wale wa zamani waliokuwa WANALIA hawa waliokuja na technolojia ya upako ni wawekezaji wa sadaka na wanamazingaumbwe,
Hata wewe ni FAKE vilevile..Unatumia kigezo ghani dada kuwaita feki ? wewe mwenyewe ulishashuhudia wakifanya mambo kwa ufeki ? au unasikiliza maoni ya watu ?
Hata kwa Wakristo wanatakiwa kuomba wenyewe kwa Mungu. Hii mambo ya kuombewa inatuingiza mkenge sana. Watu wamejipa vyeo vya kuombea wengine.Uislam hakuna cha nidhamu ya uoga wala hakuna mtu au sheikh au yeyote aliye juu ya mwenzake.Muislam anasali popote pale hategemei mtu kufikisha maombi yake kwa Mungu
FaizaFoxy
THE BIG SHOW
Ritz
Ffafanua kidogo wamefanyaje?Hili jambo limewatia aibu karibu walokole wote duniani
View attachment 1032982
Bila shaka walokole wa Tanzania mna cha kujifunza
Hata wewe ni FAKE vilevile..
Hebu nikuulize kitu mkuu,.kile kilichofanywa na huyo nabii sijui mtume wewe umekiamini 100%??Sawa inawezekana mimi ni fake lakini sio mbaya ukawa na uthibitisho wa kile unachoongea.DONT CRITISE THINGS U DONT KNOW ABOUT
Unajidanganya rafiki.Bado wapo na Mungu anaendelea kuwatumia (Kwanini na wewe usitumike)
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama ndio kutafuta pesa sio kwa dizaini hizi,.hawa manabii fake nadhani moto wao haujazimuliwa hata mara moja...shenzy zao mfyuuu!😏😏!!!
Yeah nimeamin sawa na andiko hili hapa mathayo 10:8Hebu nikuulize kitu mkuu,.kile kilichofanywa na huyo nabii sijui mtume wewe umekiamini 100%??
Kwa kweli mimi huwa nakubali miujiza yao lakini huu, mhhh full maigizo!Hili jambo limewatia aibu karibu walokole wote duniani
View attachment 1032982
Bila shaka walokole wa Tanzania mna cha kujifunza