Sasa hao wanaoweza siwaende mahospialini huko wagonjwa wamejaa na mochwari zimejaa wafu?Kinachofanya ishindikane kwa sasa ni nini? Kama Yesu alifanya iweje sasa wengine washindwe?
Kweli kabisaNdiyo maana Kagame ameweka masharti magumu. Kuanzisha kanisa ni lazima uwe na shahada ya kwanza ya Theology, usiwe na ishu za utapeli huko nyuma na uwe na wadhamini (watu wanaokufahamu tabia zako na wanaoweza kukushuhudia).
mkuu huenda pia labda na forex kweli inampa mapene ukijumlisha na sadakahichi unacho kisema ndicho na mimi nahisi , i,m not sure . mfano ninavyomjua alpha lukau ,ni mtu very humble , kwa sisi tunaosoa theology kwa mrengo huu wa kilokole , na kama yesu alivyosema , ufalme wa shetani hauwezi ukapingana wenyewe kwa wenyewe. kwa south africa pastor anayekuja kwa kasi sana ni huyu ,akifuatiwa na bushiri , wote hawa wanatakiwa kuondoka south africa . wapishe wazawa , kama charis mission nk .
ukiangalia zile kampuni za kufanya maziko , kama black felix funeral services , kingdom blue coffins na king and queens ambayo ilitoa gari kwa ajili ya kuifuata maiti , utaratibu mzima wa kikampuni kwa wao ulikiukwa .
ukimsikiliza kiongozi wa south africa anayeshughulika na maswala ya kudhalilishana kiroho ( movement against abuses in church.) ndugu solomon izang ashoms , yeye anadai si mara ya kwanza kanisa hili linaletwa katika tuhuma mbalimbali ,,, aliulizwa ulichukua hatua gani ulichukua ,,, akadai nilitishiwa maisha . point ni kwamba wanataka kumkandamiza mwenye kanisa , alpha likau ,,, angalia Bushiri anapopitia leo , ,anatuhumiwa kutorosha fedha kwenda malawi ,,, mahojiano na uchunguzi unavyoendelea yote ni ubabaishaji ,,, mfano eti unahoji kuwa , chanzo chako cha fedha ni kipi hasa ,,, jamaa anawaambia , nina bishara za forex nk .... serikali inataka kuwafukuza wageni wenye power ya kiuchumi nchini south africa .
ni kweli serikali kwa mujibu wa taratibu lazima waamue , utaratibu nafuatwa na heshima ya nchi inakuwepo .. na ndiyo maana south africa kuna taasisi nyingi zinaangalia haya makanisa na kodi za serikali zinalipwa kupitia makanisa haya .
kwa muujiza huu .... ukweli utaadhirika ila bado na simama na Alpha lukau .. Mungu atampigania . south africa imekuwa ni sehemu hatari sana kwa watumishi wa Mungu ... hili ni jaribu kwa viwango vyake atavuka tu ...
mkuu sasa unadhani insta na wasp angepataje nasikia kule zinauzwa bei mbaya bora utoke nayo duniani moj kwa mojaKwanza nimesikia marehemu mwenyewe alikuwa na simu mfukoni....chaaa
Acha wizi!!haya ni mapicha tu,haya thibitishi chochote,ni sawa na kuangaria muvi "white house down" ikionesha ikulu ya marekani imelipuliwa,Mchungaji wa Afrika Kusini Alph N Lukau, mwanzilishi na Mkuu wa Alleluia Ministries International ameripotiwa amemfufua mtu aliyekufa wakati wa huduma ya Jumapili leo asubuhi.View attachment 1031253View attachment 1031254View attachment 1031256View attachment 1031257View attachment 1031258View attachment 1031259View attachment 1031260
Sent using Jamii Forums mobile app
Niliitazama Ila nitake radhi mi sio dada.Ipo YouTube dada
Jr
Hahaa huyo mchungaji na huyo maiti bandia ni wangese kweli manina zao ... hayo maigizo hata Hollywood wakasome aise
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijaona hiyo video mkuu naomba uiwekeMichezo ya kuigiza tu.. Ukiona hiyo video utacheka ufe
Jr
inasemekana aliwahi kufanya utapeli wa hivyo , yaani simara ya kwanza kufanya hayo mazingaombwe , na likuwa nasikia ana train watu wafanye maigizo watalipwa na kanisa ... kumbe ni huyo mmbaya wa mchungaji ndiyo alikuwa nyuma.
Tuwekee hiyo video hapaMichezo ya kuigiza tu.. Ukiona hiyo video utacheka ufe
Jr
Pole!! Hata kama huyo amedanganya kama wengi wanavyodhani, lakini hiyo haiwezi kuwa sababu ya kuponda ulokole kwa maana ya kuokoka kweli. Mimi nimeokoka! Ni kweli kuna ambao ni fake lakini na halisi tupo!!Walokole kama wametolewa ufahamu.