Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 3,611
- 8,746
Kuna Mzee wangu kanieleza kipindi miaka ya 1972 ukiambiwa kwenda Afghanistan uwezi Toka ukilinganisha na yamiaka 2023.
Hata nchi kama Iran, Libya, Kuwait, Syria na za kati zilikuwa hakuna chuki Wala tatizo.
Ila Sasa angalia picha
Hata nchi kama Iran, Libya, Kuwait, Syria na za kati zilikuwa hakuna chuki Wala tatizo.
Ila Sasa angalia picha