Muuza Sura
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,985
- 1,345
Huko nilipoweka red ni wewe na mama yako.
huo ujanja unaotaka kuuleta niliufanya nikiwa darasa la nne!........sugu na ruge wanapiga pesa mapimbi kama nyie mapovu yanawatoka!
Huko nilipoweka red ni wewe na mama yako.
Na wewe unahitajika uwe muelewa zaidi! hiki ni nini?hebu soma maelezo yake kdgo kijana.ku mtoa kimziki c tatizo,ku2kana kasema awezi hebu kuwa muelewa kdgo
Na wewe unahitajika uwe muelewa zaidi! hiki ni nini?
Afande Sele huwa hatukani, mimi nimewahi kumsikia akisema mazafakayooo!!! kwani kusema "mazafaka" ni tusi??Alisaini deal wakati amelipuliza baada ya kwisha sasa anaona ajitete..Huyu kuna clips ametukana sana tu!
Tunda huwa anapenda kuangalia kaptula ya ndani ya baba????????Na wewe unahitajika uwe muelewa zaidi! hiki ni nini?
Msanii wa kizazi kipya Afande Sele ambae kwa sasa anavuma mtaani kwa jina la Yuda Eskariot,ameongelea kuhusu ishu yake ya kupafom pale Leaderz,akiojiwa Mlimani Radio alisema.
Namnukuu..." kwanza napenda kusema nasikitishwa sana na mambo yanayoendelea hivi sasa,ninatukanwa na kudhalilishwa nikiitwa msaliti,lakini ukweli sijasaliti,mimi ni mpambanaji na siku zote nimepigana vita hii nimejitolea sana wakati huo wenzangu walianza kufanya mambo yao bila kunishirikisha,na hii ilikuja baada ya mimi kukataa kushiriki kuimba kwenye album ya antivirus volume 2,niliwaambia mimi nina familia na watu wengine wananiangalia so siwezi kutukana..kitu kingine MIMI NINA IMANI YA KIRASTA NA WENZANGU WANA IMANI ZA KI-HUSTLER ndio maana tunapishana sana maamuzi,niliwaambia wenzangu kuwa msimamo wangu mimi ni KUWAPATANISHA HAWA WATU WAWILI(Sugu&Ruge),kwa kuwa Sugu sasa ni mtu mkubwa nchi hii naweza kumuita jamaa na kumuweka chini wakanyoosha penye makosa"
SABABU ZA KUPAFOMU LEADERZ,anasema "kukosa mwaliko wa Antivirus,wenzangu hawakunitaarifu na hata kwenye matangazo yao hawakuniweka ndio maana nilipoitwa uku nikakubali,mimi naishi kwa kutegemea muziki,sasa siwezi kukataa kazi wakati nina shida ya pesa ndio maana nilipoitwa uku nilikubari LAKINI HAIMAANISHI KUWA NIMEACHANA NA HARAKATI AU SIWAUNGI MKONO WENZANGU..hata hivyo BADO NAENDELEA KUWASILIANA NA SUGU ILI TUZUNGUMZE..
Huyu ndiyo mtu mwenye Familia na asiyependa kutukana hadharani, lakini kuvua nguo na kushika sehemu nyeti hadharani kwake siyo tatizo!!!!!!! SHAME ON YOU !!!!!!Na wewe unahitajika uwe muelewa zaidi! hiki ni nini?
hivi kwa hii picha tu huyu hata ukimuuliza bibi asiyejua kiswahili atakwambia ni mtukanaji na firauniNa wewe unahitajika uwe muelewa zaidi! hiki ni nini?
Na wewe unahitajika uwe muelewa zaidi! hiki ni nini?