Hakuna anaeweza kununua mziki wa wavuta bangi hata siku moja
anavyo jieleza inaleta maana na asikubaliana nae atakua sio muungwana....
kwa taharifa yako,hakuna show hapa Bongo msanii wa nyumban aliyowailipwa vizuri zaidi ya show ya antivirus..
Matumbo,
Njoo na data usije na porojo tuambie walilipwa kiasi gani hao wasanii? JF sio sehemu ya porojo
we ulitengeneza habari kwamba wamelipwa elfu50,sasa unataka kiasi cha nini tena we mzeiya!we tambua kwamba wamechukua fungu la kutosha na kuna baadhi ya wasanii mpaka sasa hawaamini macho yao,kama wanaota au la..uhoni Afande aka Yuda anabembeleza apokewe tena?ye aliona mil 2 ya clouds pesa ya maana sana.
Hakuna anaeweza kununua mziki wa wavuta bangi hata siku moja
we ulitengeneza habari kwamba wamelipwa elfu50,sasa unataka kiasi cha nini tena we mzeiya!we tambua kwamba wamechukua fungu la kutosha na kuna baadhi ya wasanii mpaka sasa hawaamini macho yao,kama wanaota au la..uhoni Afande aka Yuda anabembeleza apokewe tena?ye aliona mil 2 ya clouds pesa ya maana sana.
Hili jamaa ni dunce kwa sababu limedai lilikataa kushiriki kuimba kwenye anti-virus kwa sababu ina matusi, lakini tamasha la anti-virus la wiki iliyopita angekwenda kushiriki kama kina sugu wangemwalika. How absurd.
Huko nilipoweka red ni wewe na mama yako.hii movement ya kina sugu mwanzoni nilikuwa naikubali sana ila siku zinavyoenda kuna sehemu nimegundua wanakosea tena hususani kwa washabiki wao ambao kila msanii asiyekuwa upande wao wanamchukulia ni adui na kumtukana badala ya kutumia ushawishi wa kumvuta!................madogo wengi wanaosupport movement ya sugu katika facebook ni mapimbi kama walivyo watangazaji wengi walio clouds!hii vita ni ja wajanja wawili ambao ni sugu na ruge walio nyuma yao wote manduza!hawajielewi!
Bob Marley kauza album ngapi? Alikuwa anavuta miwa au? Acha kudharau bangi ni mojawapo ya mimea barikiwa duniani ambayo inaleta conciuos ya ukweli na kupanua mawazo inakuwa tatizo kwa wale tu wanaoiabuse