Kwa waliopata admissions za hizo post ada imepanda zaidi ya nusu ya iliyokuwepo kwa sasa post graduate ni 4400000 kwa mwaka na masters ni 8000000! Kaazi kweli!
Kwani chuo ni UD peke yake jamani, acheni kulalama
Kwani
chuo ni UD peke yake jamani, acheni kulalama
Mbona sijaelewa, tufafanulie kwa Kiswahili postgraduate ni ipi na masters ni ipi. Nadhani sijajua methali za kiinglish.
kiswahili ndio kigumu zaidi, MASTERS ni SHAHADA ya pili wakati POSTGRADUATE ni STASHAHADA YA UZAMILI.
kiswahili ndio kigumu zaidi, MASTERS ni SHAHADA ya pili wakati POSTGRADUATE ni STASHAHADA YA UZAMILI.
Aisee nitakoma mbona, nimepata admission ya Msc.Renewable energy engineering hapo Coet, kiasi nilichoandaa kuisoma ni kidogo, sasa kama kweli imepanda itabidi nichukue ustaarabu mwingine.
Masters = Shahada ya Uzamili. PGD = Stashahada ya Uzamili.
Postgraduate = Masomo baada ya kupata Shahada. Kwan ukipata shahada huwez kusoma master
Kwa taarifa yako UD hawajawai kutoa ada za master na PHD kufuatana na km chuo cha umma, wanatoa undergraduate kama chuo cha umma lakini level zingine wanasema ni anasa ndiyo maana wanawakamua sana wanalalahoi.Nenda Mzumbe vodafasta so long as master zao zinatambuliwa hahahahamkuu kumbuka hiki ni chuo cha umma,watu wengi tunategemea ada iwe nafuu
ili wenye uwezo kielimu wamudu gharama,kama hawa ni hv je vyuo binafsi
wasemeje ukizingatia tunakichangia kupitia kodi zetu na hvi vya binafsi havipati ruzuku ya serikali,kweli tutasoma kweli mkuu??
Sina mpango wa kurudi pale tena;Hyo bacheror tu inanitosha wameshanikomesha sana wale jamaa;hapa bongo kwan hamna chuo kinatoa masters ya HR????? Ntaenda huko huko