zig_charlzy
Member
- Jul 24, 2014
- 92
- 23
Mi nasikia sikia tu, Zitto, Zitto, ACT, ACT, wasaliti ,wasaliti, CHADEMA CHADEMA, wabinafsi wabinafsi hebu nielezeni hii movie vizurii, mim na Watanzania wenzangu tuweze kuelewa vizuri tujue wapi pa kushika, wapi pa kuacha.