Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 914
- 4,264
Viongozi wa ACT walikuwa wana Chadema hapo awali. Wakaandaa njama za kuivuruga Chadema mwisho wa siku wakakamatwa na kufukuzwa uanachama. Zito na Kitila wakafika kwa msajili chini ya wana CCM na kusajili chama chao.
Wakatafuta wafuasi wakakosa na hivyo Kitila akaamua rasmi kurejea CCM kisha akasaidiwa kubebwa akapewa Ubunge. Zitto katika uchaguzi wa 2020 akiamini JPM atamwonea huruma, ikalazimu naye achinjiwe baharini na hivyo kupelekea kufa kwa ndoto yake ya chama kikubwa cha upinzani.
Zitto akashiriki kuiua CUF akishirikiana na Lipumba. Maalimu Seif akavutwa ACT na bado chama kikosa nguvu Zanzibar kama ilivyokuwa awali. Akajaribu kukieneza chama akashindwa na sasa amekaa pembeni kinadharia ila kwenye kiti kivitendo kama ambavyo wenyeviti wa CCM mara zote wamekuwa wakikaa pembeni lakini wakiwa na kura ya veto katika maamuzi ya chama.
Pamoja na ACT kupewa uhuru mkubwa bado wao wanaamini Mbowe ndiye anayewazuia wao kuua upinzani Tanzania. Kila wanachofanya chadema act wazalendo wanapinga na kukosoa kwa line ile ile inayotumiwa na CcM. Tunajiuliza Mbowe aliowakosea nini? Wanaamini wakiungana na CcM wanaweza kuiua chadema? Wananufaikaje? Kwanini zito asiombe nafasi ya uwaziri ale pensheni atulie kama anatamani kukaa meza ya watawala?
Wakatafuta wafuasi wakakosa na hivyo Kitila akaamua rasmi kurejea CCM kisha akasaidiwa kubebwa akapewa Ubunge. Zitto katika uchaguzi wa 2020 akiamini JPM atamwonea huruma, ikalazimu naye achinjiwe baharini na hivyo kupelekea kufa kwa ndoto yake ya chama kikubwa cha upinzani.
Zitto akashiriki kuiua CUF akishirikiana na Lipumba. Maalimu Seif akavutwa ACT na bado chama kikosa nguvu Zanzibar kama ilivyokuwa awali. Akajaribu kukieneza chama akashindwa na sasa amekaa pembeni kinadharia ila kwenye kiti kivitendo kama ambavyo wenyeviti wa CCM mara zote wamekuwa wakikaa pembeni lakini wakiwa na kura ya veto katika maamuzi ya chama.
Pamoja na ACT kupewa uhuru mkubwa bado wao wanaamini Mbowe ndiye anayewazuia wao kuua upinzani Tanzania. Kila wanachofanya chadema act wazalendo wanapinga na kukosoa kwa line ile ile inayotumiwa na CcM. Tunajiuliza Mbowe aliowakosea nini? Wanaamini wakiungana na CcM wanaweza kuiua chadema? Wananufaikaje? Kwanini zito asiombe nafasi ya uwaziri ale pensheni atulie kama anatamani kukaa meza ya watawala?