Acha kuingiza Malaya ulipopanga

Mbona huna sababu za msingi mkuu,
Kwa mimi naon waendelee tuu kam sababu n hzo

Ila kam kuna zngne za msing lete

Kama unaleta madem na ni watu wazima wanakunyooshea vdole au wanakupmia heshima sio karne hii

Mimi nitafanya hvyo cha msingi watoto wadogo wasijue linaendelea.
Unachobisha unakielewa Mkuu, au ndio unajipa moyo kuwa unachofanya ni sahihi?
 
Mbona huna sababu za msingi mkuu,
Kwa mimi naon waendelee tuu kam sababu n hzo

Ila kam kuna zngne za msing lete

Kama unaleta madem na ni watu wazima wanakunyooshea vdole au wanakupmia heshima sio karne hii

Mimi nitafanya hvyo cha msingi watoto wadogo wasijue linaendelea.
Una hoja usikilizwe
 
Yani nilipe kodi alafu nikapange guest kweli?? Huyo anae nifuatilia aendelee kunifuatilia tu hela nalipa mimi alafu nipangiwe wapi pakupeleka mademu!!
Sababu yawewe kupanga ni kula Mbunye?

HESHIMA HUWA INAJENGWA, HUWEZI JUA HAO WAPANGAJI UNAOISHI NAO WANAWEZA KUWA MASHEMEJI HUKO MBELENI. WAKAKUKATAA KWASABABU YA HISTORIA YAKO CHAFU.
 
Usipoleta mademu watasema wewe jogoo hawiki au nyoka wa kibisa😂😂😂😂
Kuleta Demu sio inshu, inshu ni kule mademu kama una DANGURO ndani kwako.

Zingatia : BINADAMU HUPANDISHWA NA WATU NA PIA HUSHUSHWA NA WATU WALIOMZUNGUKA.
 
kulala namalaya ni kosa yani kumpeleka unako lala wew ni kosa jingine kubwa ndio maana vijana mishe zinakua ngumu kila kukicha

vitabu vya dini vimekataza kuwa karibu na malaya
Habari zenu Wakuu,

Nimekuwa naona vijana wenzangu wakiingiza mademu/Malaya kila uchwao kwenye mageto yao bila ya kujali watu waliowazunguka. Kiukweli ni image mbaya wanajijengea kwa jamii maana maneno yanasambazwa na kufikia hatua ya kuonyeshewa Vidole.

Kuingiza Demu sio kosa Wakuu, ila kuingiza mademu na kuwalala kwenye kitanda chako sio jambo zuri kijamii na kiakili. Unakuta kijana anaishi peke yake ila kila wikiendi anaingiza malaya ndani, na cha ajabu ni kwamba hafikirii wala kujali taswira yake kwenye jamii.

Nb. Maneno ya watu yana sambaa na yana nguvu sana, jizuie kuingia Malaya ndani ujenge taswira nzuri kwa jamii.


UZI TAYARIni
 
Habari zenu Wakuu,

Nimekuwa naona vijana wenzangu wakiingiza mademu/Malaya kila uchwao kwenye mageto yao bila ya kujali watu waliowazunguka. Kiukweli ni image mbaya wanajijengea kwa jamii maana maneno yanasambazwa na kufikia hatua ya kuonyeshewa Vidole.

Kuingiza Demu sio kosa Wakuu, ila kuingiza mademu na kuwalala kwenye kitanda chako sio jambo zuri kijamii na kiakili. Unakuta kijana anaishi peke yake ila kila wikiendi anaingiza malaya ndani, na cha ajabu ni kwamba hafikirii wala kujali taswira yake kwenye jamii.

Nb. Maneno ya watu yana sambaa na yana nguvu sana, jizuie kuingia Malaya ndani ujenge taswira nzuri kwa jamii.


UZI TAYARI
Ah wee wacha watu wagegede gharama za lodge balaa bwana
 
kulala namalaya ni kosa yani kumpeleka unako lala wew ni kosa jingine kubwa ndio maana vijana mishe zinakua ngumu kila kukicha

vitabu vya dini vimekataza kuwa karibu na malaya
Mbaya zaidi Wanalala na malaya kwenye vitanda ambavyo wanatarajia kulalia na wake zao huko mbeleni.

NI LAANA JUU YA LAANA.
 
kulala namalaya ni kosa yani kumpeleka unako lala wew ni kosa jingine kubwa ndio maana vijana mishe zinakua ngumu kila kukicha

vitabu vya dini vimekataza kuwa karibu na malaya
Job true true.
Sasa mbona huko majuaa wana nyanduna na malaya lakini naona vijana wao ndio wanazidi kufanikiwa. E u nielewesheni hapo.
 
Back
Top Bottom