Papizo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 4,944
- 1,431
Wandugu mwenzenu nina situation, mpenzi wangu wa moyo ameanzisha mgomo baridi toka last week saturday. Kifupi access yangu kwenye ile starehe yetu amei deny. Kisa ni kuwa nilipotoka ijumaa kazini nilipitia viwanja nikajisahau kumwambia hadi nilipo rudi saa tisa usiku,mwenzangu alinichunia tu na wala hakuonesha kukasirika ila tangu siku hiyo nanyimwa live tena saa ya kulala huwa anjipigilia nguo za kutosha. Sina shida sana na ile kitu kwani nina uhakika wa kupata hata kila siku ila najisikia kudhalilishwa kijinsia kulala na mtoto wa kike bila ku access ile kitu.
Mkubwa kwanza huyo ni mke wako au ni demu tu unaishi nae ila una mpango nae??Kama ni mke basi kaa nae chini muyamalize na kama sio mke basi usibembeleze hiyo kitu...Mbona zipo nyingi sana??