Ungemtumia yeye huo ujumbe ungekua umefanya la maana kweli badala ya kujifanya umemaind hapa huku huko mtaani kwenu unamchekea na sio ajabu ukampa anachotaka.
Na khusu "wanawake kuwa na wendawazimu " take it back. . . huyo demu wako wa kitambo ndie mwenye wendawazimu
Msimlaumu Mzee ganja zinampeleka puta kapiga cha Arusha kinamwamshia hisia za zamaniCRAP posts as always ka huna cha kupost acha kujaza server.
Msimlaumu Mzee ganja zinampeleka puta kapiga cha Arusha kinamwamshia hisia za zamani
We mzee koma......tena koma ukomae! Mwendawazimu wewe na huyo demu wako, usituhusishe na huo uchafu wako......alah!! Kama umemaind mfate huko huko ukamwambie live. Sio unajifanya kuachama achama hapa, ilhali akija mnazini wote........and as far as your last statement is concerned, we na yeye nani *****?? Again we unamheshimu mkeo?
anaanzwa na alphatbeti mkuu. Amenikera sana.
Najiuliza je mke wangu naye anafanya huu upuuzi?. Kichwa kinauma.
Hahahah Mzee nimegusa penyewe ila leo umebadilisha nafikir umepiga cha R chuga maana kimekufanya ukamwaga upupu humu.aiseeeh. Nitake radì. Itake radhi ganja.
naapa, akijipendekeza mi natwanga. Lakini kwanini anaamua kunipenda wakati yeye tayari ameshaolewa.
Acha zinaa na ulafi wa wanawake we Mzee!!
1. Umesema una demu wako wa muda mrefu sana kumaanisha mpaka anaolewa bdo ulikuwa unamahusiano naye na unampango wa kudumisha mahusiano hayo kama yeye atataka.
2. Licha ya existance ya hali hyo ktk kipengele 1 hapo juu, Unasema una mke.
MWOSHA HUOSHWA, NA POPO MLA MWENZIE NAYE HULIWA..
usinikumbushe ya binti yangu tafadhali sana eeeh.
Usijigambe kwani unahatarisha uhai wako kwa vitu viwili 1. Huwezi jua ya huyo mume wake na pengine alikua na wanawake wengine 2 akigundua we ndie unayeiba mali zake ujue patachimbikaKuna demu flani hapa mtaani, next wiki anaolewa. Ni demu wangu wa kitambo sana. Ameshaniaga kuwa anaolewa.
Jana amenitumia sms kuwa japokuwa anaolewa ila hatoniacha. Bado ananipenda sana. Na dozi zangu hatozisahau, na anatamani ziendelee.
Hapa najiuliza
Hivi nyie wanawake mna wendawazimu?. Kwanini ukubali kuolewa na mtu usiyempenda.
Mnakera sana, Heshmuni waume zenu.
Akijileta mi natandika.
dada punguza hasira. Huyo ni kama representative.
Wanawake wana similarities nyingi ukilinganisha na tofauti zao. Ndio maana nimeamua ku-generalise.
ungejibu swali langu kwanza ndo ningejua ukilaza wako zaidi, achana na hilo ambalo mods wamefuta as if nimetukana! Btw, talking of representative, would it be fair kama nikikuchukulia wewe as a representative of all men? Eti nyie wanaume mliomo humu jf, mzee ndo anabeba tabia zenu?