Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,597
- 5,788
Kuna demu flani hapa mtaani, next wiki anaolewa. Ni demu wangu wa kitambo sana. Ameshaniaga kuwa anaolewa.
Jana amenitumia sms kuwa japokuwa anaolewa ila hatoniacha. Bado ananipenda sana. Na dozi zangu hatozisahau, na anatamani ziendelee.
Hapa najiuliza
Hivi nyie wanawake mna wendawazimu?. Kwanini ukubali kuolewa na mtu usiyempenda.
Mnakera sana, Heshmuni waume zenu.
Akijileta mi natandika.
Jana amenitumia sms kuwa japokuwa anaolewa ila hatoniacha. Bado ananipenda sana. Na dozi zangu hatozisahau, na anatamani ziendelee.
Hapa najiuliza
Hivi nyie wanawake mna wendawazimu?. Kwanini ukubali kuolewa na mtu usiyempenda.
Mnakera sana, Heshmuni waume zenu.
Akijileta mi natandika.