"A woman of my dreams" 25years later...

Ngekewa Heshima mbele mkuu! Mimi naona nitatofautiana kidogo na waliotangulia kuchangia mawazo yao. Naomba nianze na swali kwako kabla ya ushauri. Mwanamke uliyemuoa ulimpenda unampenda au ulifunga ndoa kwa sababu ilibidi????? Swali la pili ni a woman of ur dream alimpenda yule aliyeolewa naye au ilikuwa ni shinikizo la aina fulani kama ni wazazi au utajiri wa yule aliyemuoa?
 
Ngekewa Heshima mbele mkuu! Mimi naona nitatofautiana kidogo na waliotangulia kuchangia mawazo yao. Naomba nianze na swali kwako kabla ya ushauri. Mwanamke uliyemuoa ulimpenda unampenda au ulifunga ndoa kwa sababu ilibidi????? Swali la pili ni a woman of ur dream alimpenda yule aliyeolewa naye au ilikuwa ni shinikizo la aina fulani kama ni wazazi au utajiri wa yule aliyemuoa?
Pakawa mke wangu nampenda lakini yeye alifuatia huyo niliempenda na laiti ningepata nafasi kwa huyo wa mwanzo basi stori ingekuwa nyengine.
Ama kwa swali lako la pili ni kuwa sikumfatilia aliolewa na nani.
 
Tulia kwa ndoa achana na huyo mwanamama wa enzi hizo. Hayo mambo ya muda kitambo tu
 
miaka yote hiyo! Huyo si post menopausal? Utaenjoy nini sasa?

Kwani tunapopenda kitu lazima tuache kukipenda kwasababu kina umri fulani? Bibi yangu alilia sana alipofariki Babu yangu kwani alisema anampenda sana! Halafu ukumbuke kuwa umri wetu unalingana hivyo natural ni kifu yangu!
 
ng'ombe hazeeki maini,mwenzio anaona huyo mama kama kigori! pepo la ngono na matamanio ashindwe na alegee,hasa kuanzia kiunoni kwenda chini!
 
waliochangia wengi wao hawajui kabisa kuhusu kupenda,tena hawajui kabisa kwamba ni mara chache mno kukuta ndoa imeshabihiana na ndoto za kila mwanandoa,tena hawajui kwamba ng'ombe hazeeki maini,tena inaonyesha hawajawahi kupenda,tena wala hawasomi hadith za matukio ya watu ambao walipendana.napata shida hata namna ya kuwapa ushauri nasaha watu wa namna hii,lakini napenda kuwaonya tu kwamba mtu mzima akitoa hoja fulani fikiri kwanza kabla ya kuchangia au usichangie chochote.
 
Back
Top Bottom