Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,571
Makeshimiwa Spika, kwa kweli baada ya kusema hayo, mimi ningewaomba Wabunge wote pamoja na hata Wapinzani kwamba….shauri yenu, mimi mradi naomba tu, cha hakika sibembelezi! Ila ninachosema yeyote atakayepita katika njia ambayo Kabwe amepita, lazima tumuadhibu na kwa hiyo nakubalina na hoja ya Mheshimiwa Mudhihir kwamba Kabwe aadhibiwe na ni leo. Mheshimiwa Spika, Asante! (Makofi)
mANENO RED YALIKUWA AMRI KWANI ALIONGEA MAKAMU MWENYEKITI WA CHAMA ,NA HILI LILIKUWA ONYO KWA ENG.MANYANYA .
MWK, Nipe popote ANNE alipowahi kusema lolote juu ya hili jambo kama ulivyosema hapo awali.....But naamini kuwa binadamu huwa wanabadilika kulingana na wakati, matukio, mazingira, na hata matukio.
Ninachosisitiza ni kuwa tunahitaji muda wa kujua na pia anatakiwa kuonyesha dhahiri kuwa hakuna politics of revenge..........but aendelee na mapambano kwani yanaamsha wengi....
mANENO RED YALIKUWA AMRI KWANI ALIONGEA MAKAMU MWENYEKITI WA CHAMA ,NA HILI LILIKUWA ONYO KWA ENG.MANYANYA .
MWK, Nipe popote ANNE alipowahi kusema lolote juu ya hili jambo kama ulivyosema hapo awali.....But naamini kuwa binadamu huwa wanabadilika kulingana na wakati, matukio, mazingira, na hata matukio.
Ninachosisitiza ni kuwa tunahitaji muda wa kujua na pia anatakiwa kuonyesha dhahiri kuwa hakuna politics of revenge..........but aendelee na mapambano kwani yanaamsha wengi....