@arusha,baba mngoni,mama mchagga
Nawasalim wana JF
Nina wivu sana wa mapenzi na nampenda sana laazizi wangu na siko tayari kutengana naye labda asiwepo duniani.Kuishi pamoja bila ugomvi as mme na mke ndiyo matakwa yangu ila kila aliye kwenye ndoa ananitisha kwamba ndoa ndoano.
Sasa ili kuepusha misuguano nataka nimweleze haya:
1.awe anakuja napoishi at my home place mara nne na kulala mara tatu hivi kwa wiki
2.Niwe na uhuru wa kwenda (mimi na watoto wetu) na kulala kwake as long as I want
3.Mwezi wa sita na wa kumi na mbili ahamie/nihamie tuwe pamoja mwezi mzima
My take:Hakika naamini akikubaliana na mimi kwa haya matatu haitatokea kununiana hata siku mmoja as long as every second we will be missing each other
Mtaani/kazini /kanisani wote wawe wanajua mimi ni mke wa flani na yeye ajulikane kuwa ni mme wa marytina
Nawasalim wana JF
Nina wivu sana wa mapenzi na nampenda sana laazizi wangu na siko tayari kutengana naye labda asiwepo duniani.Kuishi pamoja bila ugomvi as mme na mke ndiyo matakwa yangu ila kila aliye kwenye ndoa ananitisha kwamba ndoa ndoano.
Sasa ili kuepusha misuguano nataka nimweleze haya:
1.awe anakuja napoishi at my home place mara nne na kulala mara tatu hivi kwa wiki
2.Niwe na uhuru wa kwenda (mimi na watoto wetu) na kulala kwake as long as I want
3.Mwezi wa sita na wa kumi na mbili ahamie/nihamie tuwe pamoja mwezi mzima
My take:Hakika naamini akikubaliana na mimi kwa haya matatu haitatokea kununiana hata siku mmoja as long as every second we will be missing each other
Mtaani/kazini /kanisani wote wawe wanajua mimi ni mke wa flani na yeye ajulikane kuwa ni mme wa marytina