@arusha,baba mngoni,mama mchagga
Nawasalim wana JF
Nina wivu sana wa mapenzi na nampenda sana laazizi wangu na siko tayari kutengana naye labda asiwepo duniani.Kuishi pamoja bila ugomvi as mme na mke ndiyo matakwa yangu ila kila aliye kwenye ndoa ananitisha kwamba ndoa ndoano.
Sasa ili kuepusha misuguano nataka nimweleze haya:
1.awe anakuja napoishi at my home place mara nne na kulala mara tatu hivi kwa wiki
2.Niwe na uhuru wa kwenda (mimi na watoto wetu) na kulala kwake as long as I want
3.Mwezi wa sita na wa kumi na mbili ahamie/nihamie tuwe pamoja mwezi mzima
My take:Hakika naamini akikubaliana na mimi kwa haya matatu haitatokea kununiana hata siku mmoja as long as every second we will be missing each other
Mtaani/kazini /kanisani wote wawe wanajua mimi ni mke wa flani na yeye ajulikane kuwa ni mme wa marytina
if wishes were horses then all beggars could ride.Dah!! Watu mnawish......!
sitokuelewa nina wivu uliopitiliza
Kujuwa tatizo ni sehemu ya suluhisho............ Kwa nini usinielewe wakati HILO SI SEHEMU YA MASHARTI YAKO....?? Inawezekana hujui unachokitakasitokuelewa nina wivu uliopitiliza
we unadume lingine lina kudanganya huna lolotehapana
kila siku nawaza sana kumweleza jamaa hili swala
huyu bwana anatafuta talaka tu hakuna lingineHakuna kishindikanacho chini ya jua. Watu wana mikataba ya kila aina humu duniani. Jaribu kumualeza anaweza kuelewa.....
Kwa utaratibu na kwa mpangilio unaoutaka, inabidi ukubali matokeo na maumivusitokuelewa nina wivu uliopitiliza
@arusha,baba mngoni,mama mchagga
Nawasalim wana JF
Nina wivu sana wa mapenzi na nampenda sana laazizi wangu na siko tayari kutengana naye labda asiwepo duniani.Kuishi pamoja bila ugomvi as mme na mke ndiyo matakwa yangu ila kila aliye kwenye ndoa ananitisha kwamba ndoa ndoano.
Sasa ili kuepusha misuguano nataka nimweleze haya:
1.awe anakuja napoishi at my home place mara nne na kulala mara tatu hivi kwa wiki
2.Niwe na uhuru wa kwenda (mimi na watoto wetu) na kulala kwake as long as I want
3.Mwezi wa sita na wa kumi na mbili ahamie/nihamie tuwe pamoja mwezi mzima
My take:Hakika naamini akikubaliana na mimi kwa haya matatu haitatokea kununiana hata siku mmoja as long as every second we will be missing each other
Mtaani/kazini /kanisani wote wawe wanajua mimi ni mke wa flani na yeye ajulikane kuwa ni mme wa marytina