Unatafuta source hapa Pambaf kwani Leo hujaangalia tv Pambaf tenaHizi conclusion ndiO huwa zinachanganya sana,( Ukiuliza source = hakuna) mpaka sasa kuna conclusion zaidi ya 3, we know some people are very good in connecting dots but we should try to be analyitical on this matter,
ngoma inogile, a failed assassination plot na itaigharimu sana serikali yaq nyinyiem
Acha unafiki,ulimboka kama si mtumishi serikari ndo wamuue?tumia na akili yako.usikubali kuwa mtumwa wa mawazo valisha nguo akili yako.Huyo Dr Ulimboka ni msanii,kwanza yeye si mtumishi wa serikali kinachomsukuma akomae ni nini?Awaachie madaktari ambao wako serikalini wadai,yeye amdai anayemfanyia kazi.
Pia inaonekana kuwa alipoitwa kwenye hayo mazungumzo ya 'KUYAMALIZA'alienda yeye na rafiki yake.Hilo suala la mgomo ni la madaktari wote nchi nzima ilikuwaje aende yeye na huyo rafiki yake??hili suala siyo la kirafiki ni la kikazi.HAO WANAPIGA SIASA WAPATE PESA KWA MGONGO WA WENGINE.Kwa hakika inavyoonekana ni mtu anayeweza kununuliwa na akawauza wenzake.NASISITIZA HAFAI NA NDIO MAANA NAPINGA MGOMO HUU INGAWA NA MIMI NIKO IDARA HIYO HIYO.
Katika taarifa ya habari mtu aliyekuwa akimtafuta mfululizo kwa siku tatu ni mtu wa Ikulu aitwaye kwa jina moja David na baadaye aliondoka kumfuata huyu David na baadaye akatekwa infront of him. Kwa mwenye akili anajua tu hii ni plan from some where