Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,634
- 697,916
- Thread starter
- #601
Tukishatanguliza shekeli tutafarakana tufanye bila shekeli zitakuja tu zenyeweMkuu kwa mchanganyiko wa taaluma ulizo nazo...anzisha kitu kama dhehebu lanye mrengo huru la kiafrika zaidi.
Kama kawaida unikumbuke niwe mtunza kapu la sadaq.