775 Billions deni la barabara, serikali inadaiwa

Mwaka Jana TANROADS walikuwa wanadaiwa billion 300. Hazijalipwa.

Mwaka huu TANROADS wanadaiwa 475 billion za Barabara.

Sasa kwa nini Serikali ina kiherehere cha kulipa DOwans

Mbona kwenye matangazo huanza hivi

"The Government of Tanzania has received funds from xxxx and want to use part of it in payment of construction xxx kilometers in xxxx District.

Tenders are therefore invited from elligible......"

Vile vile sheria ya manunuzi inakataza taasisi yeyote ya umma kuingia makubaliano yoyote kama hakuna pesa zilizotengwa. Taarifa za Waziri wa fedha huwa zinazumngumzia makusanyo yamefikia 90% + na matumizi 90% +....hayo matumizi hayajumuishi barabara?


Sasa kwa nini wakandarasi hawalipwi?
 
madeni ya kutisha na kila siku wanalipana posho ya sherehe za miaka 50 pale mnazi mmoja
 
CCM na Mrema wake , nahisi deni litakuwa sana mpaka bajeti ijayo waanze kutukanana bungeni. Unafiki wa Magufuli utaonekana wazi


Nafikiri tatizo siyo Magufuli, tumpe "benefit of the doubt" jamaa anafahamika kwa uchapakazi, hapa kuna jambo lingine
 
Lazma tukubali hakuna serikali isiyodaiwa. Cha msingi ni kuwapo na plan za kukagua uhalali wa hayo madeni na kuyalipa bila penalties ili kutowaumiza wananchi. Custodians wa kodi zetu shurti waone uchungu kidogo wajameni!
ni kweli,kumbuka mkapa wetu mnayemchafua humu jf kila siku alilipa madeni sugu,wahisan wakaamua ksamehe madeni mengine mengi,kwann awam ya 4 wasijipange na wao???????,kumbuka awam hii inakmekopa mpaka benki za ndani
 
Hiyo experience na historia zinazokuonyesha nI za wapi. Tanzania hatujawahi kuwa na chama kingine madarakani na tofauti na CCM.
Vunja mtandao wa mafisadi na wahujumu uchumi kwa kuiua CCM kwani ndio njia yao ya kupitia. Hakuna Fisadi au mhujumu wa uchumi asiye kuwa na kadi ya CCM.

Umejibu sawa kabisa mkuu! Root cause ni hayo uliyoyasema. Hata wachangiaji wa mwanzo wanaligusia indirectly. Mti usiozaa matunda ni kuukata na kuutia motoni, the good book teaches that.
 
Embu basi Raisi mtukufu wa Tanzania Dr.Dr.Dr.Dr.Dr.Dr, Mheshimiwa sana Jakaya Mrisho Kikwete asitishe safari zote za nje na akilazimisha tupopotoe ndege yake
 
Mabadiliko ya kweli na maendeleo endelevu yatapatikana baada ya ccm kuondolewa madarakani. Otherwise, tutakaa sana!
 
Back
Top Bottom