Mwaka Jana TANROADS walikuwa wanadaiwa billion 300. Hazijalipwa.
Mwaka huu TANROADS wanadaiwa 475 billion za Barabara.
Sasa kwa nini Serikali ina kiherehere cha kulipa DOwans
Lazma tukubali hakuna serikali isiyodaiwa. Cha msingi ni kuwapo na plan za kukagua uhalali wa hayo madeni na kuyalipa bila penalties ili kutowaumiza wananchi. Custodians wa kodi zetu shurti waone uchungu kidogo wajameni!
Mwaka Jana TANROADS walikuwa wanadaiwa billion 300. Hazijalipwa.
Mwaka huu TANROADS wanadaiwa 475 billion za Barabara.
Sasa kwa nini Serikali ina kiherehere cha kulipa DOwans
Ndiyo haya tunayasema.. kwanini wanadaiwa? Jibu haliwezekani kwa sababu "hatuna fedha"...
Lazma tukubali hakuna serikali isiyodaiwa. Cha msingi ni kuwapo na plan za kukagua uhalali wa hayo madeni na kuyalipa bila penalties ili kutowaumiza wananchi. Custodians wa kodi zetu shurti waone uchungu kidogo wajameni!
hela tumenunua jengo marekani mhweeee
Wote mnalalamika. Toeni solution.
Nini kifanyike?
Sitaki majibu mepesi ya wawajibike, CCM iondoke etc kwa maana experience na history zinaonyesha hata wakija NCCR au CUF watu ni wale wale watanzania watakaofanya kazi na kuiba hizo hela.