2G,3G zote ni generation za teknolojia kadri inavyoongezeka na ufanisi unakuwa mkubwa,leo kuna nchi zinatumia 4G tayari
kama unatumia airtel hakikisha unasubscribe to one of their bundles, Internet, DataSiku, DataWiki au FullData, bila kufanya hivyo inakula sana pesaBora wewe mm hata maana ya 2G, 3G na 3G+ sielewi ni nini kwani mtandao wangu wa Zai napata 3G (3.6Mbps) ila inakula hasa Airtel na Bonus ni za uongo hatupati.
Hebu tujuzeni tufanyenye hivi vi-Modem vya HUAWEI kuingia Tigo pia
Ya tigo wadau humu wanadai ipo kwa dar tu.
<br />wajinga sana hawa tigo,cjui cku zote hzo walikua wamelala wapi wakat nakumbuka wao ndo kat ya mitandao ya kwnza kuanza kutoa huduma ya gprs...voda wakafata,lakn angalia bdo yamelala tu mpka leo mikoa mikubwa kama mwanza,arusha haina 3G network yao...rubbish.
Tsh 2500 unlimited wiki? may be i miss something here<br />
<br />
Upo wapi wewe?mbona mi natumia tigo na ninapata 3.5G,tena cku hz safi sana coz tshs 2500 unapata unlimited internet access,unadownload kwa kujiachia wiki nzima..
kwa ambao hawaelewi wikipedia ni shule ya bure...mi naomben tu msaada jaman!kwan hyo 3g ya tigo inapatikana kwnye modem tu?cuz me nataka kwnye cm,airtel,voda napata 3g safi,kasoro tigo,au ni dar peke yake coz mi nipo rock city bt ni city center...mwanga zaid unahitajika wakuu.
jamn mmeongea meng lakin mm nataka kuc c tiza kwamba tigo ni mpango mzma maana mm nilijiunga juz kwa 450 mbaka leo na2mia kwenye modem tena inakuwa unlimited !!! pia yule anaye experince tatizo la edge o 2g hii ni kw sabab line yake ya cmu aija konectiwa na 3g xo anitajika kuifikisha pale tigo ili waweze kumwonganishia 3g !! mm mwenyewe ilishantokea lakin ckuy hz fresh
Tsh 2500 unlimited wiki? may be i miss something here