Network ya 5G kwa Vodacom na TIGO

Sir_Finus

JF-Expert Member
Mar 31, 2011
330
139
Muda umepita sasa toka vodacom na Tigo walipotangaza upatikanaji wa 5G kwa mtandao wao.
Kwangu sijapata kuona kabisa katika simu nilizotumia network kupanda kwenda kwenye 5G.
Nimeangalia band wanazotumia na simu nilizotumia ndo hizo hizo lakini hamna kupanda na maeneo mengi nayokuwepo dsm ndo yanayo support network yao kwa 5G.
Naomba kujua kuna yeyote ambaye ameweza kuona simu yake ikipanda na kusoma 5G?
Nimetumia simu zifuatazo toka network ya 5g kutangazwa na voda ambazo ni samsung Galaxy s20+ 5g, google pixel 5a 5g, galaxy s10 5g na sasa galaxy s22 ultra 5g lakini zote hamna kitu.
 
Kama unataka kutest 5G vizuri, nenda Mlimani City, ingia getini nenda hadi Mlimani City hall -- utaona 5G node ya Vodacom; pale usiposhika 5G basi jua simu zako haziko supported bado.
 
Muda umepita sasa toka vodacom na Tigo walipotangaza upatikanaji wa 5G kwa mtandao wao.
Kwangu sijapata kuona kabisa katika simu nilizotumia network kupanda kwenda kwenye 5G.
Nimeangalia band wanazotumia na simu nilizotumia ndo hizo hizo lakini hamna kupanda na maeneo mengi nayokuwepo dsm ndo yanayo support network yao kwa 5G.
Naomba kujua kuna yeyote ambaye ameweza kuona simu yake ikipanda na kusoma 5G?
Nimetumia simu zifuatazo toka network ya 5g kutangazwa na voda ambazo ni samsung Galaxy s20+ 5g, google pixel 5a 5g, galaxy s10 5g na sasa galaxy s22 ultra 5g lakini zote hamna kitu.
Inawezekana huja update simu yako,Mimi nilitumia iphone 12 pro max dual line,niliweka Voda na tigo na zote zilikuwa zinasoma 5G nikiwa maeneo ya postal,masaki na mlimani city.Vodacom inasoma 5G maeneo mengi sana ukilinganisha na tigo Hadi mitaa ya tabata unapata 5G kwenye Voda.Nahisi simu yako haijawa updated
 
Muda umepita sasa toka vodacom na Tigo walipotangaza upatikanaji wa 5G kwa mtandao wao.
Kwangu sijapata kuona kabisa katika simu nilizotumia network kupanda kwenda kwenye 5G.
Nimeangalia band wanazotumia na simu nilizotumia ndo hizo hizo lakini hamna kupanda na maeneo mengi nayokuwepo dsm ndo yanayo support network yao kwa 5G.
Naomba kujua kuna yeyote ambaye ameweza kuona simu yake ikipanda na kusoma 5G?
Nimetumia simu zifuatazo toka network ya 5g kutangazwa na voda ambazo ni samsung Galaxy s20+ 5g, google pixel 5a 5g, galaxy s10 5g na sasa galaxy s22 ultra 5g lakini zote hamna kitu.

Me nilijaribu 5g ya Voda, home Kimara. Inakamata vizuri tu, sema inabidi uwe na bundle la uhakika, speed yake ni balaa. Angalia screeshot hiyo
IMG_8086.png
 
Muda umepita sasa toka vodacom na Tigo walipotangaza upatikanaji wa 5G kwa mtandao wao.
Kwangu sijapata kuona kabisa katika simu nilizotumia network kupanda kwenda kwenye 5G.
Nimeangalia band wanazotumia na simu nilizotumia ndo hizo hizo lakini hamna kupanda na maeneo mengi nayokuwepo dsm ndo yanayo support network yao kwa 5G.
Naomba kujua kuna yeyote ambaye ameweza kuona simu yake ikipanda na kusoma 5G?
Nimetumia simu zifuatazo toka network ya 5g kutangazwa na voda ambazo ni samsung Galaxy s20+ 5g, google pixel 5a 5g, galaxy s10 5g na sasa galaxy s22 ultra 5g lakini zote hamna kitu.
Kwa taarifa za siri ni kuwa 6G ipo mbioni kuvumbuliwa
 
Back
Top Bottom