Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,750
- 45,214
Ni michuano ya 34 ya Mataifa huru ya Afrika ambayo itafanyika Ivory Coast kuanzia January 13 mpaka February 11 ya 2024.
Itashirikisha timu 24 ikiwemo sisi Tanzania. Michuano hiyo itafanyika katika majiji matano huku viwanja sita vitatumika katika michuano hiyo.
Hii ni mara ya pili kwa Ivory Coast kuandaa mashindano hayo mara baada ya kuandaa kwa mara ya kwanza mwaka 1984.
Mpira rasmi wa mashindano ya mwaka huu unaitwa “Pokou” uliotengenezwa na kampuni ya vifaa vya michezo ya Puma.
Senegal ndio bingwa mtetezi wa taji hilo alilobeba mwaka 2021 katika mashindano yaliyofanyika pale Cameroon.
Miongoni mwa timu zinazopigiwa upatu wa kushinda michuano ya mwaka huu ni pamoja na Senegal, mwenyeji Ivory Coast, Mafarao wa Egypt na Morocco.
Zawadi ya mshindi kwa AFCON ni Dola Milioni 7.
Mshindi wa pili atapata Dola Milioni 4.
Timu zitakazoingia Nusu Fainali kila moja itapata Dola Milioni 2.5
Kwa kila timu itakayofika Robo Fainali itapata Dola Milioni 1.3
Orodha ya waamuzi waliochaguliwa kuchezesha michuano hiyo ya mwaka huu hakuna hata mmoja kutoka Tanzania.
Mechi ya ufunguzi itakuwa kati ya mwenyeji Ivory Coast Vs Guinea-Bissau tarehe 13 January, Saa 5:00 Usiku kwa Saa za Afrika ya Mashariki.
Michuano hiyo inatarajiwa kuwa mubashara kupitia AzamTv na Canal Sports.
Uzi huu utakuletea updates zote za michuano hiyo kuanzia vikosi vilivyoitwa, ratiba za mechi, mikasa mbalimbali na mengineyo kwa muda wote wa mashindano.
Karibuni…
==================
Group B: Egypt vs Mozambique, Felix Houphouet-Boigny Stadium, Abidjan (20:00)
Group B: Ghana vs Cape Verde, Felix Houphouet-Boigny Stadium, Abidjan (23:00)
Group C: Cameroon vs Guinea, Yamoussoukro (20:00)
Group D: Algeria vs Angola, Stade de la Paix, Bouake (23:00)
Group E: Tunisia vs Namibia, Amadou Gon Coulibaly Stadium, Korhogo (20:00)
Group E: Mali vs South Africa, Korhogo (23:00)
Group F: DR Congo vs Zambia, San Pedro (23:00)
Group A: Ivory Coast vs Nigeria, Alassane Ouattara Stadium, Abidjan (20:00)
Group B: Egypt vs Ghana, Felix Houphouet-Boigny Stadium, Abidjan (23:00, live on BBC)
Group C: Senegal vs Cameroon, Yamoussoukro (20:00)
Group C: Guinea vs The Gambia, Yamoussoukro (23:00)
Group D: Mauritania vs Angola, Bouake (20:00)
Group E: Tunisia vs Mali, Korhogo (23:00)
Group F: Morocco vs DR Congo, San Pedro (17:00)
Group F: Zambia vs Tanzania, San Pedro (20:00)
Group A: Guinea-Bissau vs Nigeria, Felix Houphouet-Boigny Stadium, Abidjan (20:00)
Group B: Cape Verde vs Egypt, Felix Houphouet-Boigny Stadium, Abidjan (23:00)
Group B: Mozambique vs Ghana, Alassane Ouattara Stadium, Abidjan (23:00)
Group C: Guinea vs Senegal, Yamoussoukro (20:00)
Group D: Angola vs Burkina Faso, Yamoussoukro (23:00)
Group D: Mauritania vs Algeria, Bouake (23:00)
Group E: South Africa vs Tunisia, Korhogo (20:00)
Group F: Tanzania vs DR Congo, Korhogo (23:00)
Group F: Zambia vs Morocco, San Pedro (23:00)
SR2: Group A Second Place vs Group C Second Place, Felix Houphouet-Boigny Stadium, Abidjan (23:00)
SR4: Group B Second Place vs Group F Second Place, San Pedro (23:00)
SR6: Group C Winner vs 3rd Place Group A/B/F, Yamoussoukro (23:00)
SR8: Group F Winner vs Group E Second Place, San Pedro (23:00)
QF2: Winner SR4 vs Winner SR3, Alassane Ouattara Stadium, Abidjan (23:00)
QF4: Winner SR5 vs Winner SR8, Yamoussoukro (23:00)
SF2: Winner QF3 vs Winner QF2, Alassane Ouattara Stadium, Abidjan (23:00)
Itashirikisha timu 24 ikiwemo sisi Tanzania. Michuano hiyo itafanyika katika majiji matano huku viwanja sita vitatumika katika michuano hiyo.
Hii ni mara ya pili kwa Ivory Coast kuandaa mashindano hayo mara baada ya kuandaa kwa mara ya kwanza mwaka 1984.
Mpira rasmi wa mashindano ya mwaka huu unaitwa “Pokou” uliotengenezwa na kampuni ya vifaa vya michezo ya Puma.
Senegal ndio bingwa mtetezi wa taji hilo alilobeba mwaka 2021 katika mashindano yaliyofanyika pale Cameroon.
Miongoni mwa timu zinazopigiwa upatu wa kushinda michuano ya mwaka huu ni pamoja na Senegal, mwenyeji Ivory Coast, Mafarao wa Egypt na Morocco.
Zawadi ya mshindi kwa AFCON ni Dola Milioni 7.
Mshindi wa pili atapata Dola Milioni 4.
Timu zitakazoingia Nusu Fainali kila moja itapata Dola Milioni 2.5
Kwa kila timu itakayofika Robo Fainali itapata Dola Milioni 1.3
Orodha ya waamuzi waliochaguliwa kuchezesha michuano hiyo ya mwaka huu hakuna hata mmoja kutoka Tanzania.
Mechi ya ufunguzi itakuwa kati ya mwenyeji Ivory Coast Vs Guinea-Bissau tarehe 13 January, Saa 5:00 Usiku kwa Saa za Afrika ya Mashariki.
Michuano hiyo inatarajiwa kuwa mubashara kupitia AzamTv na Canal Sports.
Uzi huu utakuletea updates zote za michuano hiyo kuanzia vikosi vilivyoitwa, ratiba za mechi, mikasa mbalimbali na mengineyo kwa muda wote wa mashindano.
Karibuni…
==================
Africa Cup of Nations 2023 fixtures
Saturday 13 January
Group A: Ivory Coast vs Guinea-Bissau, Alassane Ouattara Stadium, Abidjan (20:00)Sunday 14 January
Group A: Nigeria vs Equatorial Guinea, Alassane Ouattara Stadium, Abidjan (17:00)Group B: Egypt vs Mozambique, Felix Houphouet-Boigny Stadium, Abidjan (20:00)
Group B: Ghana vs Cape Verde, Felix Houphouet-Boigny Stadium, Abidjan (23:00)
Monday 15 January
Group C: Senegal vs The Gambia, Charles Konan Banny Stadium, Yamoussoukro (17:00)Group C: Cameroon vs Guinea, Yamoussoukro (20:00)
Group D: Algeria vs Angola, Stade de la Paix, Bouake (23:00)
Tuesday 16 January
Group D: Burkina Faso vs Mauritania, Bouake (17:00)Group E: Tunisia vs Namibia, Amadou Gon Coulibaly Stadium, Korhogo (20:00)
Group E: Mali vs South Africa, Korhogo (23:00)
Wednesday 17 January
Group F: Morocco vs Tanzania, Laurent Pokou Stadium, San Pedro (20:00)Group F: DR Congo vs Zambia, San Pedro (23:00)
Thursday 18 January
Group A: Equatorial Guinea vs Guinea-Bissau, Alassane Ouattara Stadium, Abidjan (17:00)Group A: Ivory Coast vs Nigeria, Alassane Ouattara Stadium, Abidjan (20:00)
Group B: Egypt vs Ghana, Felix Houphouet-Boigny Stadium, Abidjan (23:00, live on BBC)
Friday 19 January
Group B: Cape Verde vs Mozambique, Felix Houphouet-Boigny Stadium, Abidjan (17:00)Group C: Senegal vs Cameroon, Yamoussoukro (20:00)
Group C: Guinea vs The Gambia, Yamoussoukro (23:00)
Saturday 20 January
Group D: Algeria vs Burkina Faso, Bouake (17:00)Group D: Mauritania vs Angola, Bouake (20:00)
Group E: Tunisia vs Mali, Korhogo (23:00)
Sunday 21 January
Group E: South Africa vs Namibia, Korhogo (23:00)Group F: Morocco vs DR Congo, San Pedro (17:00)
Group F: Zambia vs Tanzania, San Pedro (20:00)
Monday 22 January
Group A: Equatorial Guinea vs Ivory Coast, Alassane Ouattara Stadium, Abidjan (20:00)Group A: Guinea-Bissau vs Nigeria, Felix Houphouet-Boigny Stadium, Abidjan (20:00)
Group B: Cape Verde vs Egypt, Felix Houphouet-Boigny Stadium, Abidjan (23:00)
Group B: Mozambique vs Ghana, Alassane Ouattara Stadium, Abidjan (23:00)
Tuesday 23 January
Group C: The Gambia vs Cameroon, Bouake (20:00)Group C: Guinea vs Senegal, Yamoussoukro (20:00)
Group D: Angola vs Burkina Faso, Yamoussoukro (23:00)
Group D: Mauritania vs Algeria, Bouake (23:00)
Wednesday 24 January
Group E: Namibia vs Mali, San Pedro (20:00)Group E: South Africa vs Tunisia, Korhogo (20:00)
Group F: Tanzania vs DR Congo, Korhogo (23:00)
Group F: Zambia vs Morocco, San Pedro (23:00)
Africa Cup of Nations second round fixtures
Saturday 27 January
SR1: Group D Winner vs 3rd Place Group B/E/F, Bouake (20:00)SR2: Group A Second Place vs Group C Second Place, Felix Houphouet-Boigny Stadium, Abidjan (23:00)
Sunday 28 January
SR3: Group A Winner vs 3rd Place Group C/D/E, Alassane Ouattara Stadium, Abidjan (20:00)SR4: Group B Second Place vs Group F Second Place, San Pedro (23:00)
Monday 29 January
SR5: Group B Winner vs 3rd Place Group A/C/D, Felix Houphouet-Boigny Stadium, Abidjan (20:00)SR6: Group C Winner vs 3rd Place Group A/B/F, Yamoussoukro (23:00)
Tuesday 30 January
SR7: Group E Winner vs Group D Second Place, Korhogo (20:00)SR8: Group F Winner vs Group E Second Place, San Pedro (23:00)
Quarter-finals
Friday 2 February
QF1: Winner SR2 vs Winner RS1, Felix Houphouet-Boigny Stadium, Abidjan (20:00)QF2: Winner SR4 vs Winner SR3, Alassane Ouattara Stadium, Abidjan (23:00)
Saturday 3 February
QF3: Winner SR7 vs Winner RS6, Bouake (20:00)QF4: Winner SR5 vs Winner SR8, Yamoussoukro (23:00)
Semi-finals
Wednesday 7 February
SF1: Winner QF1 vs Winner QF4, Bouake (20:00)SF2: Winner QF3 vs Winner QF2, Alassane Ouattara Stadium, Abidjan (23:00)