Ilitarakimura
JF-Expert Member
- Feb 7, 2016
- 2,506
- 1,627
Hata mimi nategemea kutompa kura uchaguzi ujao kama hatabadilika
Jenga hoja mkuuHilo halina ubishi lazima umpe Bebi wako magufuli hana shida na kura za Mabebizi
Wewe Nyumbu Wa njano tangu lini ulimpa kura Magufuli..Huwa naamini ninaona mbali kuliko hapa nilipo kwa kutumia matukio ya hapa nilipo
Sikumpa kura yangu Lowasa kwa sababu niliamin alikuwa ameoza na angeifanya nchi Shamba la bibi
Lakini ikitokea hakuna mpinzani mwenye nguvu atakayegombea tofauti na Lowasa basi nitampa Lowasa kura yangu
Bora fisadi lakini nchi inaenda kuliko msafi lakini nchi inatumbukia shimoni huku tukishangilia utumbuaji wa vidagaa
Kabisa nduguKila nikipitia jumbe mbali mbali naona utofauti wa jumbe zinazomuunga mtoa mada na zinazompinga mtoa Mazda,nagundua wanaompinga hawana hoja za msingi na sana sana ni kukimbilia kutukana,hivyo hawana tofauti na Wabunge wa chama tawala lakini wanaomunga mtoa mada wanatoa hoja za msingi.
Urais kwenye nchi ya wadanganyika hautegemei kura za visandukuni. Mfumo unaotumika ni usimikaji.Huwa naamini ninaona mbali kuliko hapa nilipo kwa kutumia matukio ya hapa nilipo
.....
Bora fisadi lakini nchi inaenda kuliko msafi lakini nchi inatumbukia shimoni huku tukishangilia utumbuaji wa vidagaa
mm pia sitompa kura yangu unless amerekebisha hii sheria ya fao la kujitoa kwenye mifuko ya hifadhi ya jamiiHuwa naamini ninaona mbali kuliko hapa nilipo kwa kutumia matukio ya hapa nilipo
Sikumpa kura yangu Lowasa kwa sababu niliamin alikuwa ameoza na angeifanya nchi Shamba la bibi
Lakini ikitokea hakuna mpinzani mwenye nguvu atakayegombea tofauti na Lowasa basi nitampa Lowasa kura yangu
Bora fisadi lakini nchi inaenda kuliko msafi lakini nchi inatumbukia shimoni huku tukishangilia utumbuaji wa vidagaa
haiwezi panda viwanda vya ndani vyote vimeanza kuzalishaMm ckumpa na ctakuja kumpa kwasababu ya maamuzi ya haraka yasiyo angalia nin kitatokea na hapa bado kuna wanaojikombakomba hili la sukari nilishawahi kusema humu kuwa sukari kwenda 1800 kirahc ni ndoto za alinaja na badala yake itapanda vp iko wap saiv na sasa bado kidogo nafaka na samani
Haufanani na team MAGUFULI! wewe umeshaanza kuishi maisha ya kishetani na kuzisoma namba...pole sana! # Usitumie sukari ni hatari kwa afya na maisha yako#Huwa naamini ninaona mbali kuliko hapa nilipo kwa kutumia matukio ya hapa nilipo
Sikumpa kura yangu Lowasa kwa sababu niliamin alikuwa ameoza na angeifanya nchi Shamba la bibi
Lakini ikitokea hakuna mpinzani mwenye nguvu atakayegombea tofauti na Lowasa basi nitampa Lowasa kura yangu
Bora fisadi lakini nchi inaenda kuliko msafi lakini nchi inatumbukia shimoni huku tukishangilia utumbuaji wa vidagaa
mi sijuti acha kusemea mioyo yetuWaliomchagua huyu lazima wanajuta kwanini walifanya hivo
Huwa naamini ninaona mbali kuliko hapa nilipo kwa kutumia matukio ya hapa nilipo
Sikumpa kura yangu Lowasa kwa sababu niliamin alikuwa ameoza na angeifanya nchi Shamba la bibi
Lakini ikitokea hakuna mpinzani mwenye nguvu atakayegombea tofauti na Lowasa basi nitampa Lowasa kura yangu
Bora fisadi lakini nchi inaenda kuliko msafi lakini nchi inatumbukia shimoni huku tukishangilia utumbuaji wa vidagaa