BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,005
Mkuu Lambardi hapo kwenye bold hao mafisadi mtumbua majipu anawaogopa kwa kuwa wana nguvu kubwa isije "nchi kuwaka moto" na ufisadi unaomuhusu yeye kapiga kimya funika kombe........
Msafi anaegopa kashfa zake kubwa 3 tu anaogopa zisisemwe! Zile Bil 265 ziliyeyuka CAG alimtumbua live hadi leo haijajulik zilifanyia nini: Njoo kweny ile boat MV Bagamoyo....ile iko wazi kabisa hata yeye haongelei tena! Ingine iko wazi nyumba za serikali...ile ndio kubwa lao! Anatumbua dagaa dagaa tu! Afyatuke atumbue escrow iptl lugumi.....tutasema kweli ana nia kupambana na mafisadi!