Betri yenye chaji
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 743
- 637
aliyekudanganya Tanzania kuna kuchagua ni nani? hata leo hii serekali imeshapanga rais hadi 2030
Huwa naamini ninaona mbali kuliko hapa nilipo kwa kutumia matukio ya hapa nilipo
Sikumpa kura yangu Lowasa kwa sababu niliamin alikuwa ameoza na angeifanya nchi Shamba la bibi
Lakini ikitokea hakuna mpinzani mwenye nguvu atakayegombea tofauti na Lowasa basi nitampa Lowasa kura yangu
Bora fisadi lakini nchi inaenda kuliko msafi lakini nchi inatumbukia shimoni huku tukishangilia utumbuaji wa vidagaa
Kabla ya uchaguzi mlisema hana nia ya kupambana na ufisadi lakini haikubadilisha lolote. Maneno yenu yalikuwa ni kama kelele za vyura kwa sababu kwa sasa yuko Ikulu.Msafi anaegopa kashfa zake kubwa 3 tu anaogopa zisisemwe! Zile Bil 265 ziliyeyuka CAG alimtumbua live hadi leo haijajulik zilifanyia nini: Njoo kweny ile boat MV Bagamoyo....ile iko wazi kabisa hata yeye haongelei tena! Ingine iko wazi nyumba za serikali...ile ndio kubwa lao! Anatumbua dagaa dagaa tu! Afyatuke atumbue escrow iptl lugumi.....tutasema kweli ana nia kupambana na mafisadi!
Na bado tu, endelea kugumia kidogo kidogo kwani yataka uwe na moyo uliopungikiwa nyongo.
Kwenye hilo la ushauri sahau yeye anajua kila kitu.Nakupa mwaka mmoja hata wananchi wa hali ya chini watakuwa wanamchukia!
Huwez kumpenda mtu kisa anatumbua majipu wakati sukari imepanda bei,mchele,bidhaa mbali mbali
Vifaa vya ujenzi na maisha yanazidi kuwa magumu
Nakuapia huyu jamaa hataishia kwenye sukari pekee! Atakurupuka na kwenye vitu vingine na hapo ndipo atakapozidi kufanya watu wamjue vzr!
Shika maneno yangu" ! Huyu jamaa asipokubali kupata washauri bora na afate ushauri wao basi Tanzania haina future yoyote
NIko TZ hii mahali nilipo jtatu wiki hii sukari ilikua shs 3000 na huuziwi mpk mwenye duka akufahamu, na hauzi zaidi ya kg 2 Kifupi kama Watanzania wengi wanavyodai kwenye hili la sukari Mheshimiwa alikurukupa na kwa kuwa si mtu wa kushaurika unategemea nini? kama ulivyosema yapo mengi magumu kwa wananchi yanakuja.Anajua mbona bei inazidi kupanda? Au we uko dunia ya wapi?
Lakini ikitokea hakuna mpinzani mwenye nguvu atakayegombea tofauti na Lowasa basi nitampa Lowasa langu
nani alikwambia umpe in the first place bora ungempa yule jamaa ambaye kampeni zake alikuwa anaenda na kipazasauti na spika hahahaha pole sanaHuwa naamini ninaona mbali kuliko hapa nilipo kwa kutumia matukio ya hapa nilipo
Sikumpa kura yangu Lowasa kwa sababu niliamin alikuwa ameoza na angeifanya nchi Shamba la bibi
Lakini ikitokea hakuna mpinzani mwenye nguvu atakayegombea tofauti na Lowasa basi nitampa Lowasa kura yangu
Bora fisadi lakini nchi inaenda kuliko msafi lakini nchi inatumbukia shimoni huku tukishangilia utumbuaji wa vidagaa
omba uzima kwanza bwana mdogoHuwa naamini ninaona mbali kuliko hapa nilipo kwa kutumia matukio ya hapa nilipo
Sikumpa kura yangu Lowasa kwa sababu niliamin alikuwa ameoza na angeifanya nchi Shamba la bibi
Lakini ikitokea hakuna mpinzani mwenye nguvu atakayegombea tofauti na Lowasa basi nitampa Lowasa kura yangu
Bora fisadi lakini nchi inaenda kuliko msafi lakini nchi inatumbukia shimoni huku tukishangilia utumbuaji wa vidagaa