Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
An elderly man of Madale village on the outskirts of Dar es Salaam ponders what to do next after his hut was bulldozed in an operation conducted by Kinondoni municipality under CCM government.
Tatizo wazee kama hao inakuwa huna la kuwambia kuhusu CCM, wanasema CCM ndio baba ndio mama na wale waliohamishiwa kule mabwepande na kujengewa mahema ndio kabisa ,wao na CCM ni kama Paka na Samaki .
Tuwapeni CDM tuangalie kwa muda wa miaka mitano .kama wakituzamisha tugomee uchaguzi na kuwepo serikali ya mseto kila mmoja yumo.