Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
Hapo chini kwenye RED, Mkuu Mwiba umeniacha sina mbavu.
Yaani kwa lugha nyingine ni kwamba unamwambia mzee huyu hapo chini kwenye picha ya kwamba acha mwiba wa samaki (kupondewa nyumba yake na buldoza) ikamkwamie salama kooni kwa kuwa ni mchezo wake kwa kujichagulia wenyewe tu eti??
Yaani kwa lugha nyingine ni kwamba unamwambia mzee huyu hapo chini kwenye picha ya kwamba acha mwiba wa samaki (kupondewa nyumba yake na buldoza) ikamkwamie salama kooni kwa kuwa ni mchezo wake kwa kujichagulia wenyewe tu eti??
An elderly man of Madale village on the outskirts of Dar es Salaam ponders what to do next after his hut was bulldozed in an operation conducted by Kinondoni municipality under CCM government.
Tatizo wazee kama hao inakuwa huna la kuwambia kuhusu CCM, wanasema CCM ndio baba ndio mama na wale waliohamishiwa kule mabwepande na kujengewa mahema ndio kabisa ,wao na CCM ni kama Paka na Samaki .
Tuwapeni CDM tuangalie kwa muda wa miaka mitano .kama wakituzamisha tugomee uchaguzi na kuwepo serikali ya mseto kila mmoja yumo.