MVUA GAMBA
Senior Member
- Apr 13, 2011
- 102
- 63
Wana Jf
Leo ni mwaka Mmoja toka CCM walipotutangazia Hussein Bashe Kada wa CCM alieongoza Kura za Maoni kuwa Si RAIA wa Tanzania,Cha ajabu yupo anashiriki vikao vya CCM na ni Kiongozi wa Chama hicho.
Nimeleta hapa kama kumbukumbu naomba kuwasilisha
Leo ni mwaka Mmoja toka CCM walipotutangazia Hussein Bashe Kada wa CCM alieongoza Kura za Maoni kuwa Si RAIA wa Tanzania,Cha ajabu yupo anashiriki vikao vya CCM na ni Kiongozi wa Chama hicho.
Nimeleta hapa kama kumbukumbu naomba kuwasilisha