TIC walitangaza nafasi kuajiri wakaitwa watu kwa usaili ambao umeahirishwa hadi watakapotoa taarifa nyingine
Kuna nn imetokea?au ndio bas tena baba jane bye bye
Nimepata taarifa hizi kwa rafiki yangu mmoja ya walioitwa usaili
Kuna siku wanachama wa ccm watakapo jitambua kuwa:-
1. Watoto wao wamesoma wanazurura hakuna ajira.
2. Huduma za jijamii hazipo kulingana na mahitaji yao
3. Raslimali zipo ila zinamilikiwa na wachache
4. CCM ni familia ya watu wachache wanao ongoza mamilioni ya watu wasio na walio wanachama...
Kuna sheria ya utumishi wa Umma endapo mtumishi akitoka kwenye ajira yake na kuteuliwa kwenye nafasi kisiasa hata kama bado haja staafu hawezi kurudia ajira yake.
Miezi kadhaa kuna mabosi wa Chama cha Walimu walikataa katakata kutoka kwenye ajira zao na kwenda kwenye teuzi.
Mimi binafsi...
UTANGULIZI
Andiko hili ni maalum kwa vijana wote wapambanaji wenye ndoto ya kurejesha, amani, furaha ya familia iliyopotea, dhiaka, dharau na kulipa madeni wazazi wetu waliyokopa pindi wanatuhangaikia. Ungana nami kwa kusoma nilichokiandika ukivutiwa nacho naomba usapoti andiko hili kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.