producers

  1. UKWAJU WA KITAMBO

    Kilio cha maproducers kwa wasanii

    Producers wengi Tanzania tumekuwa tukitumiwa na baadhi ya wasanii kama daraja la mafanikio yao na kisha kutupaka matope au kuuambia umma kuwa sisi ndio tumewakosea sana na tunawanyonya. Laiti kama wasanii hao wangekuwa wanaeleza angalau mazuri wanayofanyiwa na producers. Kwa bahati mbaya sifa...
  2. Mbute na chai

    Quality headphones zinaaibisha watayarishaji wa muziki (producers) bongo

    Leo nimetumia headphones QC45 za bose kusikiliza wimbo fulani wa bongo, yaani, kwa jinsi zilivyo clear kwenye kila chombo cha muziki kilichotumika, nimesikia jinsi baadhi ya vipande vya wimbo huo vilivyo na mixing ambayo haina hata quantization halafu ni wimbo mkali sana! Bora tuendelee kutumia...
  3. MK254

    Kenya is the only African country in the top 10 producers of Avocados

    Avocados have in a recent past become one of Tanzania’s hottest exports with more farmers engaging in what has been christened as the green gold. However, even with production hitting record levels Tanzania is yet to hit the top 10 global producers with much of the production being dominated by...
  4. Raymanu KE

    Laizer Classic vs Abbah Process

    Hvi unadhani Kati ya hawa maproducer wawili Laizer na Abbah Ni Nani ndo mkali wa kutengeneza beats? Binafsi mi namkubali Abbah Process, huyu mwamba Ni hatari Sana yaani midundo yake Ni noma kupitiliza
  5. Seneta Wa Mtwiz

    Ni producer na studio gani walitengeneza kazi za Mr. Nice?

    Hasa zile za album yake ya kwanza kama vile "Kidali Po" na "King'asti", Kwani Beat, Vocal, Mixing na Mastering zimekaa vizuri sana. Ni profucer na studio gani walifanya zile kazi? "ILA MAISHA LAZIMA YAENDELEE."
Back
Top Bottom