Producers wengi Tanzania tumekuwa tukitumiwa na baadhi ya wasanii kama daraja la mafanikio yao na kisha kutupaka matope au kuuambia umma kuwa sisi ndio tumewakosea sana na tunawanyonya. Laiti kama wasanii hao wangekuwa wanaeleza angalau mazuri wanayofanyiwa na producers. Kwa bahati mbaya sifa...
Leo nimetumia headphones QC45 za bose kusikiliza wimbo fulani wa bongo, yaani, kwa jinsi zilivyo clear kwenye kila chombo cha muziki kilichotumika, nimesikia jinsi baadhi ya vipande vya wimbo huo vilivyo na mixing ambayo haina hata quantization halafu ni wimbo mkali sana! Bora tuendelee kutumia...
Avocados have in a recent past become one of Tanzania’s hottest exports with more farmers engaging in what has been christened as the green gold.
However, even with production hitting record levels Tanzania is yet to hit the top 10 global producers with much of the production being dominated by...
Hvi unadhani Kati ya hawa maproducer wawili Laizer na Abbah Ni Nani ndo mkali wa kutengeneza beats?
Binafsi mi namkubali Abbah Process, huyu mwamba Ni hatari Sana yaani midundo yake Ni noma kupitiliza
Hasa zile za album yake ya kwanza kama vile "Kidali Po" na "King'asti",
Kwani Beat, Vocal, Mixing na Mastering zimekaa vizuri sana.
Ni profucer na studio gani walifanya zile kazi?
"ILA MAISHA LAZIMA YAENDELEE."
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.